Leo nimeenda duka kubwa la Target nikakuta bango la Flaviana Matata kama model kwenye brand ya nguo marekani ndani ya duka hili kubwa nikaona isiwe tabu nichukue foto kumuenzi binti yetu huyu anayeipeperusha bendera yetu kimataifa.
Hongera Flaviana nimefurahi kuona mtanzania mwenzangu...
Kitendo cha muhindi kumchukua mtoto bila ruhusa ya mama yake. Yani hata hajataka mtoto kumuaga mama yake. Hiyo tu inaonyesha muhindi hakuwa na nia njema kwa huyo mtoto na wala hampendi na kafanya kitendo kikatili sana. Mungu amlinde mtoto maana yupo katika hatari kubwa sana maskini
Huo ni uchoyo na ubinafsi. Hujui kuwa nyumba kama hiyo inakuwa haipangishiki au kuuzika?. Je hufikirii kuwa ipo siku mkeo au watoto wako watahitaji kuipangisha ili wapate matunzo? Hujui kuwa nyumba iliyokuwa na kaburi ni useless? Kwa nini usizikwe kijijini kwenu au kwenye maeneo yaliyotengwa ili...
Cha kusikitisha watu hilo hawaoni. Yani sijui wanataka mjane wa watu aishije maskini itabidi tu aanze upya. Wanawake wa kitanzania wanateseka sana na hawana pa kukimbilia
Inasikitisha kuona ni jinsi gani jamii ya kitanzania ilivyopotoka na yenye roho mbaya. Mbaya zaidi wanawake wote humu wako mstari wa mbele kumkandamiza mwanamke mwenzao. Tuna safari ndefu sana wanawake wa kitanzania maana si kwa manyanyaso haya. Yani watu hawafikirii hata huyo mtoto kwamba...
Dah miaka minne ni mingi sana wapunguze miaka. Nitalimis sana kombe la dunia mpaka nahisi kuumwa. Hongera sana Messi na Argentina mmepigana vita vikali mmestahili. Mbappe nakupenda sana ingawa leo nilitaka Argentina nao waonje raha ya ubingwa maana wewe ulishaonja 2018. Kikosi kizima cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.