Kaka CG hebu tupe uzoefu wako mpaka hapa umepata PM ngapi, na je uliowapata vipi wamemeet expectations zako au wameexceed au wako below ur expectations. nataka na mimi nitafute kwa njiahii ila sasa vigezooo!yani viko kibaaaaooo! JF watanitoa baruuu! hebu mwaga uzoefu kaka CG
Nina watoto wawili wazuri ila ukiniona utasema sina hata mmoja kwa jinsi ninavyo jikeep, huwa naona ufahari sana kutembea na wanangu na kuwaambia watu kuwa mimi ni mama wa wawili na nafurahi zaidi pale wanapobisha kuwa siwezi kuwa na mtoto hata mmoja.
Actually mimi naichukulia very positive, zamani kulikuwa na misingi ya ndoa ambayo ni tofauti na mapenzi, wake kwa waume walipenda kusifiwa kwa kukaa muda mrefu kwenye ndoa so walikuwa wanavumilia hata machungu yawe vipi lakini siku hizi wanawake tumeelimika, wanaume they dont give a damn sijui...
Nawapa taarifa great thinkers
unamlaani mwanaume,
unataka mwanaume,
nakuhakikishia na ukimwi utaupata na hao watoto ndo watakuwa wakiwa,
kwani wewe dada vipi, si usepe ukae na watoto wako,
hakuna mwanaume yeyote atakayeweza kukutuliza moyo wako,
usipojituliza mwenyewe umekwisha.
You are very...
Watoto wangu nawalipia ada mwenyewe tena kwa marefu na mapana hata nisipopata back up namanage maisha yangu mahitaji yote vizuri sana,, lakini lazima niwe nyumba ndogo kwanza ndio baadae nije kuwa single, roho yangu ndio itatulia.
For your information nimekuwa nalipa hizo ada mwenyewe, matumizi mwenyewe plus kumlisha huyo bwana mwenyewe so imagine nikiwa nyumba ndogo, napewa vyote hivyo na watoto sio wake tena ni 1 call tu hakuna kusumbuana ada matumizi yanaletwa fastaaa, maana anajua akiharibu zitafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.