Jf naamini kuwa ni watu wenye ushauri
Nilikuja kwenu kuomba ushauri kuwa mapenzi yananiumiza nifanyaje ili nisiumie lkn nikapewa ushauri mzuri na kuanza kuufatilia hatimae now niko vizuri namshukuru mungu.
Nasema ahsanteni mnenisaidia maana nilikuwa kwenye hari ngumu saana kwel ukiacha hisia...
Jf naomba ushauri kwani kuna dawa ya kuacha kupenda au kutokuumia ukiacha maana nateseka sana mapenzi yamekuwa changamoto saana kwangu naomba nisaidieni jamani nimechoka na hii kitu inaitwa mapenzi nataka niwe mwenyewe nifanye mambo yangu.
Me kwa mtazamo wangu nakushauri usikilize moyo unasemaje tunaweza kukuambia kuwa umwache but hatujui wewe moyo na nafsi yako vinakuendesha vip kuhusu huyo mwanamke
Msikilize na kama kakiri kuwa amekosa na hatoludia msamehe uenda atabadilika kutokana na makosa yake
Mala nyingi wanawake huwa...
Me kwa mtazamo wangu nakushauri usikilize moyo unasemaje tunaweza kukuambia kuwa umwache but hatujui wewe moyo na nafsi yako vinakuendesha vip kuhusu huyo mwanamke
Msikilize na kama kakiri kuwa amekosa na hatoludia msamehe uenda atabadilika kutokana na makosa yake
Mala nyingi wanawake huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.