nimejaribu kufuatilia katika usomaji naona kama kuna vitu vinarandana Ila nitahitaji msaada wako
Nimeangalia nyota tatu
1.Tarehe na mwezi wa kuzaliwa ( mshale)
2.Herufi ya kwanza ya jina ( ng'ombe )
3. Jumla ya jina la muhusika ukijumlisha na jina la mama yake kwa kuitumia abjdi ( samaki)...
"Emphemeris ya mwaka husika"
asante sana ndugu.
kuna vitu ving umenifungua macho.
1.kwenye kitabu hcho niliona kila sayari na siku inazotumia kwenye mzunguko
2.pia naomba nijue nitapateje hiyo emphemisis ya mwaka.?
Nimesoma kwenye kitabu kingine nimekutana maneno haya kuhusu uukufu wa kaukabu.
mushtara ina daraja/siku 9.
marikh siku 8
shamsi siku 15
zuhura siku 9
awaridi siku 9
qawari siku 10
mwandish akaendelea kusema
idadi hizi ni kabla kaukabu haijaondoka katika burui inakuwa imedhihiri pamoja na nuru...
Ndugu kuna vitu viwili vinanisumbua cha kwenye utukufu wa nyota.
utukufu wa zohali ni tarehe 21 kwenye nyota ya mizani
utukufu wa mushtara ni tarehe 15 kwenye nyota ya kaa.
utukufu wa markhi ni tarehe 28 kwenye nyota ya mbuzi
utukufu wa simba ni tarehe 19 kwenye nyota ya punda
Utukufu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.