Recent content by Arwatan

  1. Arwatan

    Kuna aliyeomba kazi Zoom Tanzania akaitwa interview?

    Dah asee mimi nilidhani kwangu tu hawa machalii noma sana
  2. Arwatan

    Maswali na majibu kuhusu Biblia (bible): Tukutane hapa

    Nielezee utatu mtakatifu..Baba mwana na roho mtakatifu..we worship one god r three gods,or god manifest himself in three form? Hilo ndilo swali
  3. Arwatan

    Maswali na majibu kuhusu Biblia (bible): Tukutane hapa

    Si anayajua matatizo yetu kabla ss hatujayajua kwa nn asitende kabla ya tatizo kutokea.. Kwa ninavyo jua miujiza ni temporary works of god..nn ilikuwa sababu hasa ya kuomba? Kwani miujiza hyo ukisha ipata ndio mwisho wa kuomba
  4. Arwatan

    Wachumi tuambieni, ahadi za Lowassa ndani ya siku 100 zinatekelezekaje?

    Kama kuongeza maslahi ni kuongeza mishahara endelea kuelewa hivyo..ni watanzania wangap wanaolipa bili kubwa za maji bila ya hata hayo maji kutoka.? Madawa yatapatika kulingana na mahitaji ya bajet ya zahanati husika Sio hospitali ya serikali dawa hakuna na Pharmacy nje ya hospitali dawa zipo
  5. Arwatan

    Maswali na majibu kuhusu Biblia (bible): Tukutane hapa

    Qn1. If god can do anything at anytime why prayer? Na kwanni wanafunzi wa Yesu waliombwa wafundishwe kusali tu na sio kutenda miujiza? Qn2. Nielezee kuhusu inner parts of god."TRINITY".
  6. Arwatan

    Wachumi tuambieni, ahadi za Lowassa ndani ya siku 100 zinatekelezekaje?

    Kuboresha maslahi ya Polisi, walimu,na wanajeshi, maji umeme, madawa yanahitaji miaka 5? au viwanda karibia nchi nzima ndo vitahitaji miaka5..Siku mia ni reasonable kwa vipaumbele vya mzee wetu
  7. Arwatan

    Wachumi tuambieni, ahadi za Lowassa ndani ya siku 100 zinatekelezekaje?

    Tanzania ya magufuli itakuwa ni ya viwanada Nyingine ni kusimamia nishati ya gesi, ujenzi wa barabara, reli, kuboresha sekta ya utalii, kuimarisha uwekezaji, kuwasaidia walemavu itawezekana wakati bajeti ishapitishwa?
  8. Arwatan

    Makosa makubwa ya kiufundi ya 'Kampeni' za Magufuli

    Wwe usimpangie..mwacheni atashtuka kashidwa uchaguzi..mimi.binafsi nampongeza aendelee hivyo hivyo huku Timu pinzani wakizidi kutafuta ushindi..
  9. Arwatan

    Rostam naye sasa rasmi CHADEMA

    Lowassa kaskazin inakuombea..keep moving.
Back
Top Bottom