ni kweli kabisa inakera, daladala na vyombo vingine vya usafiri ni biashara kama biashara zingine. kama vile duka, hoteli, bar, n.k lakini iweje huyu wa vyombo vya usafiri agandamiziwe chini? ni bora waziri angetangaza hawa maaskari wao wasilipe chochote hata dukani, hotelini, bar, hata vifaa...