Isue hela tuu nyie acheni utahira wa kuringia cozi..kuna madaktari bingwa maisha yao ya kishenzi tuuu pia kuna maprofesor wa hiyo sayans maisha yao bora ya mmachinga k.koo..acheni ungese
Wanaweza kuajiri kwa mkupuo ila kwa walimu wa msingi tuu kama mna kumbukumbu vizuri mnamo mwaka wa masomo 2014_2016 serekali ilifuta ualimu ngazi ya cheti hivyo vyuo vya serekali havikudahili wanachuo wa ngazi ya cheti..vyuo vya private pekee ndio vilidahili na kupewa ruhusa kwa mara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.