Recent content by Artman

  1. A

    Kama natoka na mumeo...

    Da Sophy, wapo wengi ambao hawajaoa, tafuta mmoja akuoe, siku hizi hata wanawake wanatongoza. Achana na waume za watu, utajuta siku moja mamaa!!
  2. A

    Hivi ni sahihi,kujenga urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatembea na mchumba ako..

    It is possible, inategemea kuwa uhusiano wenu mliumaliza kwa namna gani. Mimi nina experience inayotaka kufanana na hiyo. Kuna X-wangu ambaye nilikuwa naye kabla sijaoa. Baadaye niliamua kuoa mwingine,na yule niliyemuoa alikuwa hafahamiani na x-wangu, na baada ya kuoa yule x-wangu alichukia...
  3. A

    Dickson, kwanini ulinitendea hivi?

    Pole sana, Mungu akujalie mtoto anayekuwa tumboni awe na afya njema. Sasa huyo mtoto uliyepandikizwa baba yake unamjua?
  4. A

    Kuuvaa Mkenge kwenye Harusi

    Mara nyingi kitu kizuri kikisha kuwa chako, huonekana cha kawaida ingawa bado kinauzuri uleule. Cha msingi ni kuridhika na ulichokipata.
  5. A

    Here comes Valentine

    Thanks for the invitation, I wish ningekuwa Dar siku hiyo.
  6. A

    Hivi ni Sahihi Kumpa Mpenzio Shikamoo?

    Shikamoo kwa wapenzi, yaani mume na mke hainiingii akilini. Shikamoo kwa yule anayeitoa itakuwa ishara ya kumwogopa yule anayepewa hiyo shikamoo na hivyo kufanya asiwe huru sana. Nadhani kwa wapenzi si vizuri kuitumia.
  7. A

    Ampendae kampiga kibuti: afanyeje ili kuvumilia maumivu ya 'heart break'?

    Mapenzi ni watu wawili kupendana, sasa kama mtu mmoja hajisikii chochote kwa mwenzake, hata wakirudiana mapenzi hapo hamna. Ndo yale utasikia mke anakuwa na buzi lake nje. Huyo rafiki yako ajitahidi kuchukuliana na hali hiyo na aone kama haikuwa bahati yake. Tena ashukuru Mungu kwa kuwa hali hii...
  8. A

    Natafuta mchumba

    Mkuu kulelewa siyo dili, utanyanyasika sana. Katika hali ya kawaida is better mwanamme ukawa na kazi ya kukuingizia kipato kuliko kumtegemea mke kila kitu, heshima itapungua.
  9. A

    Hi, JF member.

    Habari JF members. Nimekuwa msomaji wa thread mbalimbali kwa siku nyingi kabla ya kuingia kuwa member hasa kwenye hili jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki. So please tuko pamoja.
  10. A

    Je Unabisha??

    Sawasawa kabisa, wanawake wanahizo sifa zote, ila waliowengi hawajiamini na kuogopa kusimama wenyewe kwa miguu yao.
Back
Top Bottom