Salam wanaJF,
Naamini mpo wazima, tafadhali naomba kubadilisha mawazo na nyie labda akili yangu itatulia. Mimi natokea katika familia ya ndoa za mitaala....mama angu ni mke mdogo lakini pia kunabimkubwa 2meishi kawaida wakati baba mzima, lakin kipindi baba alivoanza kuumwa ndipo tatizo lilianza...
Jamani natumaini wazima wote,
Ushauri wenu ni muhimu sana nikijumlisha na mawazo yangu.
Nimekuwa mtu ambaye nashindwa kumpenda mwanaume muda wote nimekuwa nampenda mda mfupi tu alafu nakuwa bize na mambo yangu kila nikijaribu kuwa naye karibu najikuta nashindwa.
Hadi sasa nimekuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.