kila mara nazikia hili neno "mzingira mazuri kwa uwekezaji" kutoka midomoni mwa vio-ngozi "wetu" watanzania.. mimi kwa kuangalia jinsi mambo yanavyokwenda hili neno kwa "vio-ngozi" (viongozi) wa nchi hii ya wadanganyika (tz) linamaanisha kama nitakavyoainisha hapo chini
1. kufukuza wazawa kama...
ningependa kuwapongeza wabunge wa CHADEMA kwa uzalendo walioonyesha katika kutetea haki na usawa katika nchi hii . najua kutakuwa na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa but keep on doing right things at the right time. i give special credits to mr MBOWE for his successful actions what to do now...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.