Recent content by ARSENALY2018

  1. ARSENALY2018

    Hivi kwanini BOT Tanzania uwa inakwamisha mambo mengi?

    Asante mkuu kwa ANDIKO Sikh yao inakuja WATAJIKUNYATA. kumbe kila kinachofanywa na hawa wakandamizaji kilishaandikwa kwenye BIBLIA.
  2. ARSENALY2018

    Hai, Kilimanjaro: Wanafunzi 17 wakiri kulawitiwa. Mkesha wa Mwenge wahusishwa!

    Yani ningepewa ruhusa ya kuondoa kitu kimojawapo hapa Tanzania, ningeondoa huo Mwenge. Ni wastage ya pesa na time kuukimbiza na popote unapolala ni zinaa ndiyo utawala ktk huo mkesha.
  3. ARSENALY2018

    Vyakula vinavyokukela

    Mi kuna kitu inaitwa superghet + ugali na mboga za majani yani bora nishinde bila kula!!
  4. ARSENALY2018

    Waliowahi kufanya ngono kwenye gari tukutane hapa

    M Mkuu hadi nimecheka kwa nguvu
  5. ARSENALY2018

    KUCHEPUKA: Hakuna mwanaume rijali atakayevumilia kuwa na mwanamke mmoja tu

    Mkuu tupo ambao ni MARIJALI ila hatuchepuki, UKIAMUA kuishinda tamaa ya MWILI na kuamua KUMUHESHIMU MUNGU,INAWEZEKANA!!!
  6. ARSENALY2018

    Nimeshangaa kuona Bajaji iliyobuniwa na Mtanzania kunyimwa vibali!

    Mkuu mbona kule Arusha kuna zile land cruiser za Tours wananunua engine na chassis then wanaunda body wenyewe na wajapan wapo kimya tu???
  7. ARSENALY2018

    Kitakachomuondoa Makonda kwenye nafasi yake ni hawa askari wake wa usafi

    Mkuu walikuja kwetu pande za Kimara,yani ni shida,wanakamata kila asiye na "dust bin" mpaka mafundi welding!!!! Cha ajabu walifika kwenye mgahawa wakakuta dustbin ipo wakauliza kwanini mpishi haja vaa "epron" !!!!!! Fine zao ni elf 50 hawana mjadala!!
  8. ARSENALY2018

    Je, ulishawahi kudhulumiwa au kutapeliwa? Tushikishane mbinu za Matapeli na namna ya kuziepuka

    Hakika ndivyo ilivyo,na nimempa adhabu mpaka leo elf 55 yake sijampa,nawaza nimpe jmos mbele ya mafundi wenzake ili iwe fundisho.
  9. ARSENALY2018

    Mapinduzi yawe ni ya kilimo....

    Mkuu BINAFSI nikushukuru kwa WAZO ZURI SANA. kama umepata fursa ya kutembea MIKOA kadhaa ya nchi yetu MUNGU ametubariki ARDHI yenye rutuba na MAJI ya kutosha. Serikali ingeweka NGUVU kubwa katika kilimo na kukuza thamani ya MAZAO baada ya muda mfupi tungeweza kujenga flyovers kila mkoa na...
  10. ARSENALY2018

    Onyo la "haiuzwi kwa mtu chini ya umri wa miaka 18" mbona halisimamiwi?

    Tangazo lenyewe ni la kiingereza unategemea wauza baa wote walielewe?!?!?
  11. ARSENALY2018

    Je, ulishawahi kudhulumiwa au kutapeliwa? Tushikishane mbinu za Matapeli na namna ya kuziepuka

    Jana mimi nilipeleka gari maeneo ya Mbezi kwa ajili ya matengenezo,gari lilikuwa lina miss nikaona nimpelekee fundi aliyenibadilishia plugs last week ili aniambie tatizo ni nn. Nikafika nikamueleza tatizo akaanza kutafuta chanzo,nikatoka kidogo nikamwambia ukishajua tatizo unijulishe kwa simu...
  12. ARSENALY2018

    Kilichomtokea Joseph Mbilinyi ni Funzo kwa Watu wenye jeuri kwa ndugu, jamaa na Marafiki tujifunze

    Samahani mkuu,kuna uhusiano gani kati ya IDADI ya watu na MFIWA? Watu wakiwa wengi wanasaidia nini wakati jeneza libabebwa na watu wasiozidi 10?
Back
Top Bottom