Recent content by Arsenalist1

  1. Arsenalist1

    Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

    Naomba kuliza, fundi amabaye hajawahi kujenga Contemporary style anaweza kujenga foundation hari lenta?
  2. Arsenalist1

    Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

    Kama nimeelewa vizuri, Cost ya Nyumba aina ya Contemporary, ikijengwa kitaalamu n bei yake inaweza kufanana na traditionnal roofing ?...
  3. Arsenalist1

    Azam Tv signal search

    Habari wadau.. Fundi ninae mtegemea kasafiri na dish langu lilicheza kidogo, Nimejaribu kuliweka sawa ila signal napata intensity 80% na signal 45%, kuna Baadhi ya channel chache hazioneshi na zingine Zote zipo vizuri na hazigandi, sasa kuna jamaa Kaja ananambia Itakua ni wire, ila kabla...
  4. Arsenalist1

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Link Kwa akili ya Hizi SIM za Vivo? Na oppo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Arsenalist1

    Mombasa and Zanzibar Beach Lodges comparison

    This project has taken ages.. Lini opening? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Arsenalist1

    Perfume Naomba kuelekezwa wapi ntapata hii

    Asante Sana Sana mkuu
  7. Arsenalist1

    Perfume Naomba kuelekezwa wapi ntapata hii

    Za humu ndani.. Naomba kuelekezwa wapi naweza Pata Hii Kitu... Asante
  8. Arsenalist1

    Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

    Mkuu habari... Naomba frequency Za Itv Tafadhali.. Kwangu hizi zimegoma
  9. Arsenalist1

    Kuhusu Toyota Prius liter inaenda hadi km20

    Ulifanikiwa Kiongozi? Nilitaka kuaagiza nataka ushauri
  10. Arsenalist1

    The difference between Toyota VVTI and D4 Engines

    Hivi , Huwezi Kutoa engine ya 2000Cc ukafunga ndogo? Just nafikiria kwa wale wataalam wa hizi mambo
  11. Arsenalist1

    Dar Group

    Naomba aliekua na contact Za Dar Group anipe Tafadhali.. Ni me Google land-line hawapokei.. Na Shida na Dr Elibarick kama bado yupo.. Dr wa mifupa ..au jus direct contact... Asanteni
  12. Arsenalist1

    Naomba link ya ku download Jumanji 2

    Wana jamvi habari za sikukuu, nimekosa mdaa WA kwenda movie kuangalia movie ya jumanji.. Naomba aliekua nayo anitumie link ya kudowload... Or watch online... Asanteni week end njema
  13. Arsenalist1

    Maendeleo.... Wi-Fi on board

    Utatumia kwa mdaa gani
  14. Arsenalist1

    Maendeleo.... Wi-Fi on board

Back
Top Bottom