alipata kazi akawa bize kupitiliza, Siku tatu nne zinapita no text no call hadi mi nianze
mwaka mzima nikawa nakomaa hivyo hivyo
ugomvi kila siku, Siku moja nikaamua nimuache na kazi zake
siku hz kila nikipost status lazima areply "beautiful "
hakuna sababu nyingine... the thing is that mm huwa sina tabia ya kununa I always smile, hata kama nimechukia huwez kujua.. sababu ni kwmba nilikua namjibu siko tyr kuwa nae with a smile so yy akaona lbda namzungusha zungusha tuu ntakubal...
sasa kagundua kua sina mpango nae ndo kaamua...
Habari zenu wapendwa
Kuna kaka mmoja baada ya kunitongoza mda mrefu na mimi kutoonesha dalili za kutaka kuwa nae, leo kaamua kunipigia simu na kunitukana matusi eti najifanya naringa kumkataa yeye, kwanza alikua ananijaribu tuu.
Nimechukia sana jamani sijamjibu chochote nimemsikiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.