Ni Venus(Zuhura) ambayo kwa sasa hivi inajulikana kama nyota ya jioni kwa sababu ipo mashariki ya jua, kwa kuwa jua linazama kabla ya yenyewe.
Ikiwa Magharibi ya jua inakuwa nyota ya asubuhi kwa kuwa inchomoza kabla ya jua.
Ayanda na Pastor midevu pamechimbika kule kanisani. Kiwete feki aliyeletwa kwa wheelchair na kuombewa akapona, ameletwa na binti wa Dhlomo pale kanisani ili atoe ushahidi
Halafu jamaaa kaenda kumkatia kibunda chake na kumtahadharisha achunge asije kushtukiwa,
Ha ha ha ha ha a; Huyu Pastor midevu sjui kama atachukua round huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.