Ilipaswa umuulize kwamba ili nisisali uongo nisalivipi? Kwa utaratibu tu. Au Kuna shida umeiona kwangu inakwamisha sala zangu? Ila sio kuona ni mzaha tu
mmmmmm Mimi naona haihitaji marekebisho yoyote, kwani unamke mzur sana tena anaishi na wewe kirafiki tena kimahusiano safi kabisaaa
Tatizo lipo kwako. Your a seriously people. Unataka na yeye awe serious kwenye kila kitu kama wewe. Punguza hicho kilichopo kwenye kichwa/moyo wako, utamfurahia...
Mmm hapo mdada anapotezewa muda wake, Cha kufanya abadilishe line kwaajili ya mishe zake na kuanza maisha mapya atampata mwanaume mwenye malengo ya kuoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.