Recent content by Armanii

  1. A

    UCHUMI WANAYAUKA!!

    Kweli kabisa inasikitisha sana pale ambapo unasaliti taaluma yako na kufanya mambo ili kumfurahisha mtu Kunamwananchi aliniambia tanzania hakuna wasomi nilimbishia sana Mwingine akasema kiutafiti watanzania wengi ni wagonjwa wa akili nikashangaa Ila kwa yanayotokea sasa looo yote ni kweli
  2. A

    Lowassa miaka 3, Sumaye miaka 10 Waziri Mkuu

    Ebu watanzania ifike mahali tuwe tunafikiri vema na kuachana na ushabiki usio na maana Mbona waliweka wazi ilivyokua vigumu kuwapatia watanzania maendeleo stahiki wakiwa ndani ya Ccm kwasababu ya mfumo mbovu uliopo? Mnataka wasemaje tena muelewe?
  3. A

    Hadi Fid Q? Nimebaki kuduwaa

    Kwa alie sema joh makini anaweza panda jukwani kushabikia ccm ili sahau kabisa na huwezi mfananisha joh na fid hata sikumoja joh makini ni level za mbali mno na hapendi cheap politics Kama wasanii wengine na aliahidi hataki kuwachanganya mashabiki wake
  4. A

    MADA MOTO: Polepole na Maziku waongelea kama ahadi za wagombea zinatekelezeka!

    Ivi hua hakuna watu wengine kwenye mada moto mpaka pole pole kila Mara?naamini wapi watanzania wengine makini zaidi yake
  5. A

    Orijino Komedi wanapokashifu afya ya Lowassa, wamesahau ya mwenzao VENGU?

    Ni wavivu wa kufikiri hao ze komedi wao ni madakrari kujadili afya ya mtu??? Sijui wasanii wengine wanawazaga nini???
  6. A

    Rwanda Air to acquire EA's first Airbus A330

    Tanzania yetu kwa mambo ya usafiri wa anga tupo nyuma wameua airtanzania yaani hadi Rwanda wanatushinda??
Back
Top Bottom