Lowassa miaka 3, Sumaye miaka 10 Waziri Mkuu

Lowassa miaka 3, Sumaye miaka 10 Waziri Mkuu

Kwa masikitiko nachoona ni mvinyo ule ule... Tofauti ni Chupa tu... I'm very disappointed...
 
CCM OUT hatuna mda wa kusoma story nyingi eti mnataka watu wapya!!!Cheap politics ata Nyerere alikuwa ana cheo ndani ya Serikali ya mkoloni akaachana nao na kuanza maisha tofauti,Dk Slaa alikuwa Ccm maana wote tulitoka kwenye chama kimoja (Ccm)ata porojo hazisaidii Ccm lazima tuwapige chini.Nigeria imechagua mabadiliko majuzi hapa President Buhari ambaye miaka ya 1980s alikuwa raisi wa kijeshi wa Nigeria!!toeni pumbaz,CCM OUT

Mwalimu Jkn alikuwa cheo gani ktk serikali ya mkoloni.?
Dr alikuwa na cheo gani ktk serikali ya ccm?
Kuwa ktk uwanachama enzi za chama kimoja hakukutupa sifa za kuwa watumishi wa umma moja kwa moja.
Hata mm nilikuwa mwanachama wa TANU lakini sikuwa ni mtumishi wa umma kama walivyo kuwa wanachama wenzangu kina Luwasa na Sumai.
Leo hii mm naweza kusema serikali ya ccm haijafanya kitu nikawa na uhalali fulani lakini sio Luwasa na Sumai.
Ivi Luwasa na sumai wakisema serikali ya ccm haijafanya kitu kweli watakuwa na akili au sisi tunaowasikiliza ndio tutakuwa hatuna akili?
Maneno haya ya wanayo yasema kina Sumai na Luwasa kuwa ccm hajafanya kitu wangewaachia kuyasema kina Mbowe,Gwajima, Mwingira,Lisu,Mnyika na wengine aina hiyo sio Luwasa na Sumai.
 
Mwalimu Jkn alikuwa cheo gani ktk serikali ya mkoloni.?
Dr alikuwa na cheo gani ktk serikali ya ccm?
Kuwa ktk uwanachama enzi za chama kimoja hakukutupa sifa za kuwa watumishi wa umma moja kwa moja.
Hata mm nilikuwa mwanachama wa TANU lakini sikuwa ni mtumishi wa umma kama walivyo kuwa wanachama wenzangu kina Luwasa na Sumai.
Leo hii mm naweza kusema serikali ya ccm haijafanya kitu nikawa na uhalali fulani lakini sio Luwasa na Sumai.
Ivi Luwasa na sumai wakisema serikali ya ccm haijafanya kitu kweli watakuwa na akili au sisi tunaowasikiliza ndio tutakuwa hatuna akili?
Maneno haya ya wanayo yasema kina Sumai na Luwasa kuwa ccm hajafanya kitu wangewaachia kuyasema kina Mbowe,Gwajima, Mwingira,Lisu,Mnyika na wengine aina hiyo sio Luwasa na Sumai.

Huwezikuwa na watu wageni 100%na ukaongoza Serikali siyo mchezo,Ok kawatafute wageni Act Wazalendo sisi tumependa Ukawa...CCM OUT
 
Huwezikuwa na watu wageni 100%na ukaongoza Serikali siyo mchezo,Ok kawatafute wageni Act Wazalendo sisi tumependa Ukawa...CCM OUT

Usiruke ruke tulia soma nilicho andika jibu nilio yauliza jenga hoja yako uliza maswali yako ndio mjadala utakuwa mzuri.
Ccm ikiwa aut au in hilo ni lingine.
 
Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.

Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.

Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.

safi sana kwa kuliona hilo mkuu,,,hata kama ccm imechokwa lkn inabidi watu tuwatizame kwa umakini hao waroho wa madaraka
 
Usiruke ruke tulia soma nilicho andika jibu nilio yauliza jenga hoja yako uliza maswali yako ndio mjadala utakuwa mzuri.
Ccm ikiwa aut au in hilo ni lingine.

Pesa yetu inaporomoka kila kukicha,wanyama wetu wanauzwa kila siku,madawa ya kulevya yanaua ndugu zetu kila siku,mijizi ya Escrow inatamba mchana kweupe alafu unajitapa unajenga hoja!!!CCM OUT peleka hoja uchwara Lumumba
 
Ebu watanzania ifike mahali tuwe tunafikiri vema na kuachana na ushabiki usio na maana
Mbona waliweka wazi ilivyokua vigumu kuwapatia watanzania maendeleo stahiki wakiwa ndani ya Ccm kwasababu ya mfumo mbovu uliopo?
Mnataka wasemaje tena muelewe?
 
Umesahau kusema Baada ya kutolewa Kanu miaka kadhaa leo Shule zote za msingi nchini Kenya zimefungwa kutokana na Mgomo mkubwa wa Walimu Nchi nzima.






Wakati shule zote za umma na binafsi zikianza kufungwa kuanzia hii leo nchini Kenya, Rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta akihutubia taifa hilo kwa njia ya televisheni amesisitiza kuwa serikali ya nchi hiyo haina uwezo wa kulipa nyongeza ya mishahara wanayodai waalimu wanaoendelea na mgomo.
Ametoa wito mgogoro huo kutatuliwa kwa amani na kusema kuwa shule zote zinafungwa kuanzia leo.
Serikali ya Kenya imeagiza shule zote nchini humo zifungwe kuanzia leo huku mgomo wa walimu ukiendelea.
Barua kutoka kwa wizara ya elimu imeagiza shule zote za umma na za kibinafsi zifungwe na wanafunzi warudi nyumbani.
Watakaosalia shuleni pekee ni wanafunzi wanaojiandaa kufanya mitihani ya kitaifa ya darasa la nane na kidato cha nne mwaka huu. Katibu Mkuu wa chama cha walimu nchini humo KNUT ameambia BBC kuwa tayari amepokea barua hiyo ya kufungwa kwa shule kutoka kwa serikali.
Amesema chama hicho kilikuwa kimeishauri serikali ifunge shule “zamani”. Mahakama inatarajiwa kuamua Ijumaa ijayo iwapo mgomo huo wa walimu, ambao umelemaza masomo muhula wa tatu, ni halali au la. Mshirikishe mwenzako Unavyoweza kumshirikisha mwenza
 
Umesahau kusema Baada ya kutolewa Kanu miaka kadhaa leo Shule zote za msingi nchini Kenya zimefungwa kutokana na Mgomo mkubwa wa Walimu Nchi nzima.
Licha ya kasoro kadhaa, Moi anabakia kuwa rais bora kuliko wote waliowahi kuongoza Kenya. Hadi sasa ni unmatched.
 
Wakati shule zote za umma na binafsi zikianza kufungwa kuanzia hii leo nchini Kenya, Rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta akihutubia taifa hilo kwa njia ya televisheni amesisitiza kuwa serikali ya nchi hiyo haina uwezo wa kulipa nyongeza ya mishahara wanayodai waalimu wanaoendelea na mgomo.
Ametoa wito mgogoro huo kutatuliwa kwa amani na kusema kuwa shule zote zinafungwa kuanzia leo.
Serikali ya Kenya imeagiza shule zote nchini humo zifungwe kuanzia leo huku mgomo wa walimu ukiendelea.
Barua kutoka kwa wizara ya elimu imeagiza shule zote za umma na za kibinafsi zifungwe na wanafunzi warudi nyumbani.
Watakaosalia shuleni pekee ni wanafunzi wanaojiandaa kufanya mitihani ya kitaifa ya darasa la nane na kidato cha nne mwaka huu. Katibu Mkuu wa chama cha walimu nchini humo KNUT ameambia BBC kuwa tayari amepokea barua hiyo ya kufungwa kwa shule kutoka kwa serikali.
Amesema chama hicho kilikuwa kimeishauri serikali ifunge shule “zamani”. Mahakama inatarajiwa kuamua Ijumaa ijayo iwapo mgomo huo wa walimu, ambao umelemaza masomo muhula wa tatu, ni halali au la. Mshirikishe mwenzako Unavyoweza kumshirikisha mwenza
 
Licha ya kasoro kadhaa, Moi anabakia kuwa rais bora kuliko wote waliowahi kuongoza Kenya. Hadi sasa ni unmatched.

Uko sahihi kabisa. Ubora wa Rais huonekana akishaondoka. Rejea kwa Mkapa enzi zake mpaka hali ngumu iliitwa ukapa
 
Tatizo mda wa mabadiliko ukifika uwa hatuangalii sijui wapi ni mapuzuri (Replacement ) system ya changes uwa haipo hivyo !!wakenya walipoitoa Kanu hawakudhani kuwa Narc itatatua matatizo yotee hapana,mabadiliko yalipofika Algeria,Libya na Egypt wale watu walikuwa hawataki kupata viongozi wapya malaika walikuwa wamechokaaa na tawala zilizokuwepo.CCM kwa sasa imechokwa mpaka vijijini tunajua Ukawa haitafanya miujiza lakini tunachotaka ni CCM OUT,hakuna kipindi ambacho Ccm imebanwa mbavu kama mda huu Bara&Zanzibar.
 
Bado muda wa ccm kutoka haujafika na bado hamujapata watu wakuitoa ccm.
Luwasa na Sumai hawana uwezo hata kidogo wa kuingona ccm.

Haya ni matumaini makubwa mno! Watz tumejaliwa kuwa na matumaini kuliko uhalisia, hii ni kasumba mufilisi iliyokosa vision kwa Taifa.
 
Magufuli Hoyeeeeeeeeeeeeee

Uzuri wa namba huwa hazikosei.


CCM ina jumla ya matawi 1,160,000
Fanya hesabu at minimum kila tawi watu 10 tu wakipigia kura ccm wanazo kura 10.16 kabla hatujaenda kwenye kupiga kura.

Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura 24.3m.

Shauri yenu nyinyi mnaohangaika na Kura za MAHABA, MAHABA, MAHABA, MAHABA.

Torokeni mje kwa Magufuli
 
Akubalike, asikubalike, Watanzania TUTAMKATA mamvi October 25, kuionyesha dunia kuwa Tanzania sio kwa ajili ya Mafisadi.

Alikatwa na ccm, October atakatwa na wananchi.

#HapaKaziTu
 
Waziri mkuu nimtu wakumpa taarifa rais lakini rais akikataa waziri mkuu hamamzi yakufanya chochote. Ndiyo maana wamekuja upizani iliwaweze kutimsia wananchi yale waliyokua wanakataa marais hao. Na lowassa ndiyo ngao yetu
 
Back
Top Bottom