Recent content by Arkadim

  1. Arkadim

    Ni aibu Diamond kukosa Milioni tano ya Matunzo ya Mtoto. Aache kuzaa tu

    Huwa Diamond sipend ila kwa ilo swala nampa big up, huyo mtoto amekuwa faru fausta kutumia mil 5 kwa mwez??!!
  2. Arkadim

    Ni kitu gani cha kijinga usingependa kufanyiwa au kuambiwa wakati ukifanya mapenzi?

    Dem akisema tupumzike nmechoka, mtalimbo unasinyaa
  3. Arkadim

    Naomba niwaambie ukweli Dada zangu japo mchungu

    Ata wazungu walianza ivo hatimae wamehalalisha ushoga, mwanaume mzma unawazia matako?!! Seriously!!?? Ndo maana kuna wadada siku izi wanapenda kusodomiziwa, tunapoelekea cjui wap
  4. Arkadim

    Baada ya watumishi kuahidiwa kupandishiwa madaraja na mishahara, CHADEMA matumbo joto!

    Uku kwetu viroba vimezuiliwa , vp uko kwenu .. mbona muandishi ni kama yupo high na viroba
  5. Arkadim

    Uzi wa Mabilionea wa JF, jitokezeni!

    Bora uanzishe uzi wa wadaiwa sugu
  6. Arkadim

    Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

    Tafuta shughuli ya kufanya. Upo idle ndo maana unawaza ngono tu
  7. Arkadim

    Rais Magufuli akizitoa hizo 50M kwa kila kijiji ifikapo 2019/2020, wale wanaomkebehi watasemaje?

    Naomba kukuuliza, Iv umewahi kwenda kuchek kama una matatizo ya akili.???!
  8. Arkadim

    Kwa yanayotokea Kenya lilikuwa kosa la kiufundi CHADEMA kumuunga mkono Kenyatta

    Nilikuwa nadhan mgombea akijiondoa spika anashika ngaz kwa siku 90. Itabid nikafatilie upya
  9. Arkadim

    Nani mkweli kuhusu mapato ya nchi, Mh Zitto Kabwe au TRA?

    TRA wamechemka, ripoti ilibid iwe ya tarehe 1 october 2017. Ila kuonyesha jinsi gani serekali yetu ni vilaza ona hii Mwezi July una siku 31 wamekusanya 1.1 Trilion Mwez Agosti una siku 31 wamekusanya 1.2 Trilion Mwezi September una siku 30 lakin ripoti imetoka tarehe 10 September ivo wameweza...
  10. Arkadim

    TRA: Tumekusanya jumla ya Shilingi Trilioni 3.65 kuanzia Julai hadi Septemba 2017(Robo ya kwanza mwaka wa fedha 2017/18)

    Iv wameweza vp kwa siku 9 kukusanya 1.3Tril?? Ripoti za kupika huwa zinafurahisha sana; July 1.1, Agost 1.2 , Sept 1.3 Kama kuna mtanzania anaiamini ii ripoti bas itakuwa karogwa
  11. Arkadim

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Uchumi wa Tanzania au uchumi wa chato?
  12. Arkadim

    Uzi wa kujuana comment unapoishi.

    Karibuni KIBITI
Back
Top Bottom