Recent content by Ariseshine

  1. A

    Dr. Magufuli na CCM kupata uungwaji mkono zaidi 2020, fuatilia takwimu hapa

    Jamani hata mwaka hajamaliza mnaanza kuanza mwaka 2020.Hali tuliyonayo mpaka sasa ni tete ,acheni mambo ya siasa tuongelee hali ya uchumi na namna ya kuweka uchumi kuanzia kaya kuwa katika hali ya usawa.
  2. A

    Kilimanjaro - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Jamani tupeni matokea halisi ya Mwanga.
  3. A

    Big Salute kwa Nabii TB Joshua Na nabii Josepht Mwingira, Kwa Kumchonga vema Magufuli

    Kwa bahati mbaya Mtume wote hao watabiri Lowasa kuingia Ikulu na sio Makufuli. Tafuta clips za Mwingira humu ndani utazipa..
  4. A

    Ufafanuzi kutoka NEC: Mpiga kura atapiga kura kwenye kituo alichojiandikishia tu

    Mi kama nimesikia tofauti Jamani. Kwa wale wote waliojiandikisha na wako nje ya vituo vyao waende kurekebisha Taarifa zao kwa Mkurugenzi wa Wilaya husika. Hawataruhusiwa kupiga kura moja tuu Yaani ya urais bali watapiga zote tatu baada ya kubadili Taarifa. Ndivyo nilivyoelewa.
  5. A

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Well done my next president Lowasa. Huu ndio uzalendo sio matusi ya wale wazee wa Jangwani jana.
  6. A

    Nyaraka: Kashfa ya Richmond - Maagizo ya Lowassa na Uamuzi wa Serikali

    Hizi barua si huwa ni siri Mbona hike mtandaoni. Kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
  7. A

    Mrejesho: Tayari nimeshatoa maamuzi

    Mimi ilinitokea hali kama hii nikawaacha wote nilipoona wamejuana. Jambo jema kabisa ungewaacha wote uanze upya ili kuepuka visasi.
  8. A

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Tunawatakia mafanikio mema Ila UKAWA njia nyeupee Ikulu.
  9. A

    Smartphone bei ya kumwaga

    Weka namba yako please.
  10. A

    Nkurunziza's flight fails to make landing at the Bujumbura airport

    Kwani hakusikiliza ujumbe wa Membe, sasa Tanzania anakuja kufanya nini?
Back
Top Bottom