Asa'rile
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 438
- 120
Mie binafsi nimeshuhudia mara kadhaa uwepo wa Dr magufuli ndani ya hekalu la EFATHA ministry, Mwenge. Na hasa katika session ya maombi ya vita, jamaa alikuwa anawajibika vema. Na pia akiwa Jijini lagos ndani ya the Synagogue la TB Joshua, Nimemshuhudia mara tatu, kupitia Runninga yangu.
Ok. Dr. magufuli amebadilika sana. Nimemfuatilia katika kampeni hizi za Urais-Kuanzia akiwa Tanga, moro, Gairo, Chigoma, Muleba na leo Geita, kwakweli hutba zake zimetulia sana, zina-touch.
( ni maoni yangu tu kama mwana JF, taf musinihukumu)
Ukweli ni kwamba, watu wanaojihudhurisha katika huduma za Kitume na kinabii, huwa wana-change their mind set, jus like this Lad.
Thank you Apostle Mwingira, and Prophet TB Joshua, wamemchonga vzr, kiroho na kimwili.
Alikuwa jeuri sana
Ok. Dr. magufuli amebadilika sana. Nimemfuatilia katika kampeni hizi za Urais-Kuanzia akiwa Tanga, moro, Gairo, Chigoma, Muleba na leo Geita, kwakweli hutba zake zimetulia sana, zina-touch.
( ni maoni yangu tu kama mwana JF, taf musinihukumu)
Ukweli ni kwamba, watu wanaojihudhurisha katika huduma za Kitume na kinabii, huwa wana-change their mind set, jus like this Lad.
Thank you Apostle Mwingira, and Prophet TB Joshua, wamemchonga vzr, kiroho na kimwili.
Alikuwa jeuri sana