Ni maneno mabaya kweli aliyoyatoa.
Mvumilie ndugu.
Katika suala la kifo kwakweli inaniumiza sana.
Imani zetu tuziweke kando na tushirikiane katika kutoa japo pole kwa wafiwa.
Poleni sana waliofikwa na msiba huu.
Hapana ndugu.
Tafadhali usifike huko please.
Haujui ni lini na wapi na kwa namna gani utafikwa na mauti.
Jaribu kuwaza angekuwa ni mama yako halafu mtu mwingine mwenye imani tofauti na yako akasema hayo uliyoyasema.
Kiukweli inaumiza ndugu.
Poleni wafiwa.....!
Hali ilipofikia kwakweli ni mbaya mkuu.
Sababu za machafuko haya nadhani hutegemea mambo mengi sana kama vile migogoro ya kidini,kisiasa na labda hata ya kiuchumi.
Madhara ya machafuko haya hasa ya kidini na mengineyo kama nilivyoyaorodhesha hapo juu ni kukosekana kwa kuaminiana kiusalama...
data MO11
Hivi hapa jamaa ametumia akili kweli?
Barabara ya mkoa gani ambako mabasi huwa yanakuwa peke yake njiani,kwamba leo yote yanaenda halafu kesho yote yanarudi....!?
Kwa i'lm ya madrasa hapo ndipo ufahamu wako wa juu kabisa ulipofikia,hapo ungekuwa na maalim katani angefurahi sana.
Madrasa inawaharibu sana,iko siku utakuja kugundua ukweli huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.