Mimi sisupport ushoga ila 1000 bottles sio kesi ya msingi na tool ya kumdestroy diddy ikija kwa watu wajinga, kuna wazungu wengi wenye tabia chafu ila kwa weusi inakua mara 100 mimi kama Business person Diddy ataenda down sababu ya hate sio crime na watu watakaompeleka down ni watu weusi kama 50...
Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo
1. Wenzetu wana wekeza sana kwenye teknolojia na futuristic/ kutafuta solution ya maisha ya baadae na kugundua teknolojiaa mpya .
2. Wenzetu hawaamini sana kwenye DINI bali ethics (maadili) kwao kusema uongo, kuiba, kudanganya na...
Another Rich Black person down.... and poor Black men are happy about it watu weusi ni kama tuna laana flani Diddy inasemekana ni shoga lakini Steve jobs pia alikuwa shoga lakini kwa diddy tumekomaa nae na tunatamani afilisiwe na afungwe kabisa 😁 KUMBAVU
Kafanye Diagnosis
Maji kupungua kwenye Resevoir tank au kwenye rejeta?
Mtafute fundi acheki mfumo wote wa mafuta, water pump, na mfumo wote wa cooling system.
Nakuahauri usiendeshe gari bila kuicheki kwanza
Mpaka nauza lilikuwa linameremeta kwenye dashboard uskani unagonga, kuwaka mpaka nikanyage accelerator (starter inakufa), performance imepungua, ukikanyaga sana mafuta kama inamiss na vingine vidogo dogo
Mrejesho;
Leo nimeuza BMW yangu 5 series sh. 4.5 Million na kuongeza pesa nichukue toyota allion jan motors ilinikondesha sana na sasa ni muda wa kurudisha kitambi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.