Recent content by Archnemesis 2-0

  1. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Hali ya maisha ni ngumu kuliko tunavyodhani

    Kipimo Cha mkojo wakasemaje ss? Ilitakiwe uwashe moto unyonge unatu cost
  2. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Janeth Rithe: Sasa hivi ukiingia kwenye siasa ujikane tu nafsi yako, kuna watu wamejifunza kuua na sisi tunatakiwa kujifunza kufa

    Naona pameanza kutokota, ongeza kuni ngoma itokote vizuri
  3. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Ukiona mpaka wadada sijui wamama wanakubaliana kwamba wewe ni bwege jitafakari sana, nyongeza yangu ni wadau tusioe wake za watu! Huyo ni mke wa mtu spiritually wako physically tu. Hii milio yote ya men inaepushwa na jambo Moja tu jibu mnalo.
  4. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    Mtoa mada kama umeenda kwa mganga omba Toba mapema sana na usirudie tena, zengwe unalotafuta usije kusema hukuambiwa shaurilo. We sikiliza wanga wa kidijitali hawa wakupoteze
  5. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    Jina langu mimi Ndukusukulukuchu, narudia tena Ndukusukulukuchu. 😂
  6. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    Mbona wewe hujaji connect? Hutaki kwenda Atlanta?
  7. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Dj Choka kachoka kweli sio poa.. umaarufu wa kibongo ni mzigo wa miba ndo mana Lucas Mkenda kahamia Nairobi ukila kwa mama ntilie hakuna anaekushangaa
  8. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mwanetu anazibonda sana kama Tandale

    Tandale hapo imeingiaje madam?
  9. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Je, AI itakuwa hatari sana siku zijazo AU hii ni stori ile ile ya teknolojia?

    Nakubali Mkuu 👊🤝
  10. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mwaka wa majaribio magumu. Nimesave 7.8ml only UTT. Hisa za CRDB 60ml nilizonunua yajayo yanafurahisha! Mapambano makali sana

    Kweli ulianza 60M sasa ushavuka 500M ndani ya miaka miwili kama anavosema jamaa?
  11. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza nimefika Dar,hapa mtaani inaonekana kuna wanawake wengi kuliko wanaume

    Umetokea uswekeni pande zipi jombii NB: PSL katia timu ndani ya Uzi.
  12. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania 40 ya Sandra - Mtoto wa Diamond (Kuna Wanaume Soda zao hazina Gesi)

    Hata Mwakinyo? Kuna video niliona anapiga tizi huku akipumzika anacheza taarabu nikasema labda mambo ya kitanga
  13. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Ukipita ofisi hizi wapatie watumishi chochote

    Kuna kaukweli, ila umevuruga kusema kuna kuhonga na posho inategemea na ukarimu wako na uchapakazi. Mtu akiridhika na huduma mfano we Ticha naona kabisa una mfatilia kijana wang kwa ukaribu na inaleta impact lazima nijiongeze sio posho 4 nothing.
  14. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Unadhihirisha watu sa system aka machawa mlivo wabadhilifu kudadeki zenu hovyo sana
  15. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Tena ni poti huyo au kaolewa na Poti labda kama Ke nilipata conclusion hiyo Uzi wa dokta bagonza watu wote tunakemea uonevu wa mapoti yeye na wenzake wa3 wakawa wanasapoti. I stand 2 be corrected.
Back
Top Bottom