Bonge la uzi kwangu binafsi kufungulia 2026.. uzi umenifanya ni log in tena baada ya kamuda kidogo, shukrani mtoa mada. Pepo la mafegi tokaaa utokomee, Amen.
Kwa direct tax zaidi ya milion 5, indirect ambayo kila bidhaa unayotumia unachangia serikali je? Yan kwanzia leo asubuh had sasa unajua umelipa kodi kias gan? Mana chai tu sukari ina kodi, mkate kodi, vocha kodi kila bidhaa
Eti ameongeza ruzuku kutoka bilioni hadi trilioni, mikopo ya vyuo mara walimu... mpunguze masifa si kwa hela za kodi za ummah na ilibidi afanye hivo au zaidi ya hivo, haya maisha siku hizi mtu unasifiwa kufanya kasehemu ka wajibu wako? Aisee
Hizo mbinu zako unafanya zote kwa mkupuo au unachagua mojawapo? Duh
Nimekumbuka msela mmoja alikuaga anagombana na baba yake, mzee akienda kazini au msikitini anafungiwa geti alafu sela linafoka ndani "nenda kwenu kijijini apa ni kwetu mimi ata kama umejenga nenda kwa wazee wako.. mshua hadi...
Mtu wa karibu na Fetty amtonye kuacha kung'ang'ana mshahara wa laki 4 clouds ashakua brand kubwa atengeneze ata podcast yake apo full uhuru kuongea unachotaka mtaji wa muhimu ambao ni recognition anayo na C.V yake inajieleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.