Recent content by Archnemesis 2-0

  1. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mzazi usimchagulia mtoto masomo

    Mkuu umeikatisha story nzuri ukaenda chuo ukasoma nn then ukaingia fani gani? Tupe hamasa kiongozi
  2. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Ndoa ni taasisi inayopigwa vita sana

    Mhenga alietunga ule msemo 'Ndoa ndoano' sijui kilimkuta nini.. rest in peace OG
  3. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Sifurahii kufanya kazi na natamani kuacha kazi kwasababu hapa ninapofanyia kazi incharge nimemzidi GPA na yeye ana elimu ya kuunga unga

    Ila kweli vilaza wengi sana wametoboa na kua na nafasi za juu maofisini. Anyway kazi ni utumwa kabisa ndo mana nimejipa miaka 4 ya kumalizia uwekezaji nisiajiriwe tenaa, Mungu anisimamie.
  4. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Mkuu uongo mbaya niko nchi za watu miezi 9 sasa na sijapata kipozeo constant ila acha tuhisi tu matumizi ya sukari ndo shida hao wataalam umewatag wanasemaga nyeto haina madhara
  5. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Na ushawahi kufanya checkup Mkuu au unaji balance tu mwenyewe?
  6. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Kilo 87 apo mbona shega mamie, sifa ya toto la kike liwe na upaja flani hivi na katumbo kwa mbali sio flat kabisa, tukubali tu tunakua Mkuu haswa kama umezaa! ila sasa uzuri uwezo wa kujipunguza nao upo inawezekana discpline tu.. ila sikushauri. We live once, enjoy n love yourself.
  7. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Me niko early 30s ila mwezi wa 7 joints za miguu zilianza kuniimbia ululuuuuyah wachukuuuucha! Nilikua nakunywa sana soft drinks, junk foods na sweets sasa nabalance zaidi ya mwezi sasa sijanywa chai ya sukari nakunywa maji mengii nilihisi dalili mbaya ila naogopa kupima naji balance kwanza...
  8. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    I hope uliacha ubinafsi kusema tumali twangu, naona ume reform kwa namna flani, ok weka umimi pembeni jenga familia usikae na kinyongo mana ni kama ukuta unajenga taratibu hadi siku hutoweza kuvuka pande ya pili kwa mwenzio. Akikosea jitahidi tafuta namna nzuri ya kuongea myamalize ma wee...
  9. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Chapa ya mnyama unabii na pesa za kidijitali

    🤔 naamini una point ya kufikisha ila ebu dadavua vyema tukuelewe.. una maana gani hapa ni chapa gani niwe nayo kuweka mpesa ama simbank?
  10. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Wanawake weupe wanagawa sana utamu kwa kigezo cha UZURI 🫣.

    Mods si mtusaidie kuunga hizo id zote 11, Kanyewest, de gunner, huyu nae muwekemo Kizazi kipya cha jf mna taabu
  11. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mpumuzisheni Elevenn. Analia huku😢

    Hiyo nilikua siijui, Kuna malipo yoyote Mkuu kua hivo na me nichakalike?
  12. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania Mpumuzisheni Elevenn. Analia huku😢

    Una id ngap we dogo janja? Hio 11, de gunner, na hii na ingine ipi?
  13. Archnemesis 2-0

    JamiiForums Tanzania History tells us everything we wanna know about the future is it true?

    Tabia ya mwanadamu ndio ile ile ata evolve Hadi aimalize Dunia mwenyewe Kisha 'Great Reset' ifanyike ngoma ianze tena..
Back
Top Bottom