Ila kweli vilaza wengi sana wametoboa na kua na nafasi za juu maofisini.
Anyway kazi ni utumwa kabisa ndo mana nimejipa miaka 4 ya kumalizia uwekezaji nisiajiriwe tenaa, Mungu anisimamie.
Mkuu uongo mbaya niko nchi za watu miezi 9 sasa na sijapata kipozeo constant ila acha tuhisi tu matumizi ya sukari ndo shida hao wataalam umewatag wanasemaga nyeto haina madhara
Kilo 87 apo mbona shega mamie, sifa ya toto la kike liwe na upaja flani hivi na katumbo kwa mbali sio flat kabisa, tukubali tu tunakua Mkuu haswa kama umezaa! ila sasa uzuri uwezo wa kujipunguza nao upo inawezekana discpline tu.. ila sikushauri. We live once, enjoy n love yourself.
Me niko early 30s ila mwezi wa 7 joints za miguu zilianza kuniimbia ululuuuuyah wachukuuuucha! Nilikua nakunywa sana soft drinks, junk foods na sweets sasa nabalance zaidi ya mwezi sasa sijanywa chai ya sukari nakunywa maji mengii nilihisi dalili mbaya ila naogopa kupima naji balance kwanza...
I hope uliacha ubinafsi kusema tumali twangu, naona ume reform kwa namna flani, ok weka umimi pembeni jenga familia usikae na kinyongo mana ni kama ukuta unajenga taratibu hadi siku hutoweza kuvuka pande ya pili kwa mwenzio.
Akikosea jitahidi tafuta namna nzuri ya kuongea myamalize ma wee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.