Ukiona mpaka wadada sijui wamama wanakubaliana kwamba wewe ni bwege jitafakari sana, nyongeza yangu ni wadau tusioe wake za watu! Huyo ni mke wa mtu spiritually wako physically tu. Hii milio yote ya men inaepushwa na jambo Moja tu jibu mnalo.
Mtoa mada kama umeenda kwa mganga omba Toba mapema sana na usirudie tena, zengwe unalotafuta usije kusema hukuambiwa shaurilo. We sikiliza wanga wa kidijitali hawa wakupoteze
Kuna kaukweli, ila umevuruga kusema kuna kuhonga na posho inategemea na ukarimu wako na uchapakazi. Mtu akiridhika na huduma mfano we Ticha naona kabisa una mfatilia kijana wang kwa ukaribu na inaleta impact lazima nijiongeze sio posho 4 nothing.
Tena ni poti huyo au kaolewa na Poti labda kama Ke nilipata conclusion hiyo Uzi wa dokta bagonza watu wote tunakemea uonevu wa mapoti yeye na wenzake wa3 wakawa wanasapoti. I stand 2 be corrected.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.