Hata kua binadamu wa kwanza zinjanthropus kutoka Olduvai gorge hujivunii 😂
Ok serious ya kujivunia ni mengi kama utamaduni wetu, maliasili tulizonazo, chuma(iron) kilivumbuliwa Africa, irrigation farming ilianzia Africa, hesabu ilivumbuliwa Africa acha unyonge! ila kwa point yako kuminyana sisi...
Kwahiyo ata awe na mapepo ya ngono ni sawa, ata awe bipolar sawa naona hujajifunza na ngwe ya kwanza mkuu tuliza mhemko kumbuka taaabu na mahangaiko ya mjeda imagine unapata kubwa kuliko username yako itabadilika kua RIP
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.