Recent content by Archnemesis 2-0

  1. Archnemesis 2-0

    Epuka kumlipia mahari mwanamke uliyekuta hana bikra. (Ndaza)

    Mada ngumu kumeza hii duh, ila ina kitu
  2. Archnemesis 2-0

    Miaka 35-55 inaweza kuwa ya kutisha kwa wanaume. Kitumie vizuri kipindi cha miaka 20-35

    Bonge la uzi kwangu binafsi kufungulia 2026.. uzi umenifanya ni log in tena baada ya kamuda kidogo, shukrani mtoa mada. Pepo la mafegi tokaaa utokomee, Amen.
  3. Archnemesis 2-0

    Baada ya nyiongeza ya mshahara nimeona niongeze mke

    Au sio mnajikadiria ma padiemu tuu wakuu huko, mwendo wa kuvuna asali dadeki
  4. Archnemesis 2-0

    GE2025 Rais Samia Kuchukua Fomu ya Urais Mwezi Ujao. Vijana Wajipanga Kumsindikiza Kwa Maandamano Makubwa Yatakayo Itikisa Nchi

    Kwa direct tax zaidi ya milion 5, indirect ambayo kila bidhaa unayotumia unachangia serikali je? Yan kwanzia leo asubuh had sasa unajua umelipa kodi kias gan? Mana chai tu sukari ina kodi, mkate kodi, vocha kodi kila bidhaa
  5. Archnemesis 2-0

    GE2025 Rais Samia Kuchukua Fomu ya Urais Mwezi Ujao. Vijana Wajipanga Kumsindikiza Kwa Maandamano Makubwa Yatakayo Itikisa Nchi

    Eti ameongeza ruzuku kutoka bilioni hadi trilioni, mikopo ya vyuo mara walimu... mpunguze masifa si kwa hela za kodi za ummah na ilibidi afanye hivo au zaidi ya hivo, haya maisha siku hizi mtu unasifiwa kufanya kasehemu ka wajibu wako? Aisee
  6. Archnemesis 2-0

    Mbinu za kumfukuza kwako kijana aliyefikia umri wa kujitegemea

    Hizo mbinu zako unafanya zote kwa mkupuo au unachagua mojawapo? Duh Nimekumbuka msela mmoja alikuaga anagombana na baba yake, mzee akienda kazini au msikitini anafungiwa geti alafu sela linafoka ndani "nenda kwenu kijijini apa ni kwetu mimi ata kama umejenga nenda kwa wazee wako.. mshua hadi...
  7. Archnemesis 2-0

    DJ Fetty wa Power Breakfast ya Clouds FM asimamishwa kazi na maagizo kutoka mamlaka za juu kwenda kwa Bosi wake sababu za Kisiasa

    Mtu wa karibu na Fetty amtonye kuacha kung'ang'ana mshahara wa laki 4 clouds ashakua brand kubwa atengeneze ata podcast yake apo full uhuru kuongea unachotaka mtaji wa muhimu ambao ni recognition anayo na C.V yake inajieleza.
  8. Archnemesis 2-0

    Ukweli Kuhusu Kuhisi Nyege

    NYEGE NYEGEE NISHUSHE MWANZA NYEGEZI 🎵
  9. Archnemesis 2-0

    Watu mliosoma wote kuanzia shule ya msingi, sekondari na vyuo hupotelea wapi?

    Sawa madam wa TPA gorofa la 10 hunaga baya 😜. 🤝
  10. Archnemesis 2-0

    Watu mliosoma wote kuanzia shule ya msingi, sekondari na vyuo hupotelea wapi?

    Nilimaanisha ile kukutana ana kwa ana kwenye mihangaiko sehem tofauti tofauti mkuu
  11. Archnemesis 2-0

    Watu mliosoma wote kuanzia shule ya msingi, sekondari na vyuo hupotelea wapi?

    Sema kua maarufu kumbe sio kitu simple, umaarufu wa halali lakn sio kama wa baltazar au amber rutty
  12. Archnemesis 2-0

    Watu mliosoma wote kuanzia shule ya msingi, sekondari na vyuo hupotelea wapi?

    Mkuu naulizia kwamba mbona sionani na wadau naojuana nao huko mitaani ata kama kwa nadra?? Mtandaoni sio sehemu physical master
Back
Top Bottom