Hahahhaha. Kwa kweli fortuner ni garu nzuri sana mkuu... i can never complain....ila hizo sababu zako.. hahahah. Hapana kaka. Wewe chukua gari kwa ajili ya mizunguko, sio pisi......
ukitaka ya kuanzia 2018 mpaka 2020 ivi unaweza pata kwa 80 - 100m, ikisogea ya 2021 - 22 maybe itafika 120m...
Umeelewa maana ya resale value???... namaamisha kuiuza after kukaa nayo hapa bongo kwa miaka kadhaa.. not straight after importation....
twende mbele turudi nyuma kumaintain fortuner ni rahisi zaidi kulinganisha na ford ranger kwasababu ya uwingi wa mafundi wanaozielewa toyota.. spare parts huko...
Fortuner ni almost sawa kabisa ni hilux. Hazina tofauti kubwa. Ukipata za kuanzia 2018 na kuendelea yenye engine za either 1GD au 2GD, they are quite cheap and easy to maintain ukilinganisha na ford ranger za same years.. spare za fortuner na hilux zinaingiliana kwa 90%...i am talking from...
Gwajima alijirekodi akiwa anafanya mapenzi. Mbona husemi kuhusu hili?.. halafu anafufua watu kwa uwongo... na bado mnamuamini???? Mnasema ni mambo ya Rohoni?????
SIsemi kuwa wakatoliki wako perfect, but atleast wana taasisi imara, mashule, mahospitali, vyuo e.t.c... na hili pia linawezeshwa na...
Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Nakubaliana na mleta mada 100%..... I will die kwa toyota. Sioni haja ya kwenda na brand ingine. Ukipata hela si una upgrade to toyota... from vits labda premio to Rav 4.. to fortuner to prado to LC300... ya nini kwenda na magari ambayo roho mkononi likipata shida ukiwa safari mpaka uite fundi...
Kila kitu ni malengo.... 200m wala sio hela ya kutisha.. ukiwa na discpline, ukajifuza kujenga shilingi juu ya shilingi, kufikisha hata 1B inawezekana.
Nilitamani kulia.. umenikumbusha machungu sana... kumiliki mende tanzania ni adhabu na mateso mno... wakati ni gari ya kazi na inakuja kutengeneza ajira... ushuru wa mende ni karibu milioni 60 - 70. Kwa kwelli kwa hapa TRA wajiangalie.
GD 6 Ni hatari.... fortuner na hilux ni almost gari moja.. very comfy.. very nice car... kwa budget 4 x 4 hakuna nyingine zaidi ya hizo. Its just soooo reliable, inaenda kokote. Speed nzuri up to 140 inatulia tuu... nasisitiza na kushauri kama mdau alivyosema ongeza budget kidogo ukamate kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.