Kuna matatizo mengine wafanya biashara tunayatafutaga wenyewe, awa jamaa nimefanya nao biashara muda sasa na wakati wote wananipa TRA receipt na delivery note zikiwa proper. Labda ulitaka kuuziwa bila VAT matokeo yake ndo ayo. Kuna wakati unaweza pokea simu toka kwa mteja akiwa Mwanza au Geita...
Mshana sina shaka na uyaandikayo, wewe unamjua vizuri marehemu. Hakuna hata chembe ya uwongo. Tuchukue kama funzo especially kwa wanawake wakati wa kuolewa. Sisi tumempoteza rafiki yetu, waweza kuwa wewe au nduguyo. Take time kumjua vizuri mwenzio kwanza.
Mkuu naomba model ya gari yako, umri wake na kama imetembea zaidi ya km 100k au laa,
Matumizi ya oil yanatakiwa yaanzie kwenye specification ya manufacturer then kama hiyo grade haipo, then unaangalia alternative, naomba izo details nakusaidia sasa hivi.
Asante kwa elimu. Nadhani tuweke nje maswala ya imani maana hata waislam wapo wenye mke mmoja na wameridhika. Swala langu ni kutaka kuaminisha umma kwamba hakuna mwanaume wa mke mmoja! Si sahihi.
Ndugu zangu, salaam.
Binafsi nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa zawadi ya uhai.
Nilibahatika kukutana na video niliyoambatanisha na ilinikwaza nafsi yangu mpaka nikafikia kuandika humu labda itamfikia mhusika.
Kama mwanaume nimekuwa katika mausiano na mwenzangu kwa zaidi ya miaka 13...
Wakati kila mtu akianza kuipenda na kuielewa tamthilia hii pendwa, ghafla tarehe 02/04/2019 ilihamishwa kutokea kuonyeshwa saa 21:30pm kwenda 00:30am.
Leo tarehe 03/04/2019 inaonekana imeondolewa kabisa kwenye vipindi. Hii yote imefanyika bila taharifa wala kuombwa msamaha watazamaji. Kwakweli...
Nikwasababu watu wamejawa na mawazo machafu, hilo ni eneo kubwa tu, ni kata inaitwa Katerelo, zamani ilikuwepo Sekondari kubwa inaitwa Katerelo, nisawa na kubadili maana ya Nyegezi Mwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.