Hili halikuwa lengo lakn.
Tukizingatia malengo ya chadema ilikuwa kuzuia uchaguzi. tuliaminisha umma kuwa hapatakuwa na uchaguzi mwezi wa 10.
Sasa tumegeuka tunasema wanashindana na kivuli chao wenyewe, kitu ambacho ni kweli.
Kufanikiwa kwa CCM kufanya uchaguzi kunadhihirisha kuwa wenzentu...
Wakakulipa na ile amount ya VAT ikiwa inclusive au exclusive?
Yeye anafanya vipi return zake? Tax invoice ina VAT na imelipwa then ww utoe receipt bila VAT? Huyo Auditor wako yuko wap? Niunganishe nae anifundishe namna ya ku-reconsile hizo hesabu.
Huyo client wako anafanya vipi return zake boss?
Hawez mkuu acha kupotosha, labda arudishe ile VAT aliyokusamya kutoka kwa client wake.
Alitakiwa aseme mapema ili alipwe bila VAT. Kama amelipwa anapaswa kupeleka hiyo kodi kwa mama Abdul
Baada ya kuona Baba Levo ameteuliwa kuipeperusha bendera ya chama cha Mapinduzi kulitetea jimbo la Kigoma Mjini, hili limenifanya niamini kwa 100% kuwa kuna majimbo yameandaliwa kwa ajili ya ACT Wazalendo na CHAUMMA.
Kwa akili ya kawaida sioni ni nini CCM wamekilenga kwa Baba Levo zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.