Recent content by Arch Barrel

  1. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Siku chama pinzani wakichukua Nchi hawa Wasanii watahama Pia?

    Hii ndio kazi pekee itawaokoa
  2. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na CHADEMA mnavuna mlichopanda!

    Hili halikuwa lengo lakn. Tukizingatia malengo ya chadema ilikuwa kuzuia uchaguzi. tuliaminisha umma kuwa hapatakuwa na uchaguzi mwezi wa 10. Sasa tumegeuka tunasema wanashindana na kivuli chao wenyewe, kitu ambacho ni kweli. Kufanikiwa kwa CCM kufanya uchaguzi kunadhihirisha kuwa wenzentu...
  3. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Wakakulipa na ile amount ya VAT ikiwa inclusive au exclusive? Yeye anafanya vipi return zake? Tax invoice ina VAT na imelipwa then ww utoe receipt bila VAT? Huyo Auditor wako yuko wap? Niunganishe nae anifundishe namna ya ku-reconsile hizo hesabu. Huyo client wako anafanya vipi return zake boss?
  4. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Hapo unatafutiwa bomu la faini. Nakushauri kama wanakuzingua rudisha hicho kiasi kwa client wako then mpe receipt isiyo na VAT
  5. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Hawez mkuu acha kupotosha, labda arudishe ile VAT aliyokusamya kutoka kwa client wake. Alitakiwa aseme mapema ili alipwe bila VAT. Kama amelipwa anapaswa kupeleka hiyo kodi kwa mama Abdul
  6. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Inategemea na huduma unayotoa. Sasa kuna baadhi ya miradi ina VAT Exemption
  7. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Umelipwa kabla ya ku issue EFD Receipt? Umetoa huduma kwenye private sector au government?
  8. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Jimbo la Kigoma mjini na Clayton Revocatus Chipando (Baba Levo)

    Baada ya kuona Baba Levo ameteuliwa kuipeperusha bendera ya chama cha Mapinduzi kulitetea jimbo la Kigoma Mjini, hili limenifanya niamini kwa 100% kuwa kuna majimbo yameandaliwa kwa ajili ya ACT Wazalendo na CHAUMMA. Kwa akili ya kawaida sioni ni nini CCM wamekilenga kwa Baba Levo zaidi ya...
  9. Arch Barrel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kaja na style mpya ya kukulana

    Ushatombewa baba
  10. Arch Barrel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tusilee ujinga, nilipogundua hii dawa akaondoka mwenyewe na hana hamu tena

    GuDume kama GuDume :D Soon nitamuona mzee wa kuzichakata Papuchi Zero Iq
  11. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Mbao za mnazi zinauzwa

    Weka picha mkuu
  12. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Uzushi Kifo cha Mkuu wa Kivuli ni Njia ya Kumng’oa Bosi wa Daftari Kuu

    Umejitetea vyema sana mkuu. Tunashukuru kusikia uko hai tena
  13. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kwenye siasa za ukombozi, kukamatwa na kushitakiwa mahakamani ni kuvikwa Taji la dhahabu

    Huku majukwaani mnampamba sana Mwana, tukienda kwenye ground mmemuacha apambane na hali yake
  14. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Madaktari bingwa wa Kenya walisema Tundu Lissu sio mtu wa kawaida

    Hongera sana.
Back
Top Bottom