Recent content by Arch Barrel

  1. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Nashauri Kifo cha Mume wa Samia kichunguzwe

    Huo ndio ukwel Mkuu.
  2. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Nashauri Kifo cha Mume wa Samia kichunguzwe

    Mkuu naungana na wewe kwa 100% msongo wa mawazo unaweza kuwa chanzo.
  3. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Mchagua jembe si mkulima.

    Mm najaribu kumfuatilia comedian mmoja anaitwa Coy Mzungu. Sasa hivi ana program ya dating ili apate mke wa kuoa. Hivi mkuu unatarajia pale apate mtu sahihi kweli. Wazazi wetu walianza kuangalia chimbuko la mtu, ukoo wao ukoje na vitu vingine vingi ndio maana walipata wake sahihi. Siku moja...
  4. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Nahitaji uelewa zaid kuhusu hili jambo na sio vinginevyo boss.
  5. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Mchagua jembe si mkulima.

    Brother mwanamke hapendi. Wapo lkn sio hao ambao vijana wengi wanawakimbilia. Vijana wengi wanakimbilia kwa wahuni wa kitaa na kuacha wanawake wanaoweza kupenda kwa dhati kabisa. Hakuna slay qeen anaependa bro.
  6. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Ahsante. Naweza kukuchek PM?
  7. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Sina kumbukumbu yoyote nitajaribu kuuliza kwa mzazi.
  8. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Wasi wasi upo. Mara nyingi plan zangu zimekuwa hazikubali, na hii inatokana na most of my personal project kuishia njiani ns zinakufa
  9. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    How mkuu
  10. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Bado ni Freelancer
  11. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Hapana, sina maana hiyo
  12. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Ndio 3.9GPA - Civil Eng.
  13. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Mkuu endelea kgd hapo
  14. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Miaka 34, nilishamaliza na chuo nipo kitaa
  15. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ndoto inayojirudia mara kwa mara

    Habar za wikiend wanajamvi. Poleni na pirika za wiki nzima na misukosuko ya kila aina. Haijalishi umeivuka kwa namna gani lkn upaswa kumshukuru alie juu. Naandika bandiko hili kuomba ushauri wa dhati kabisa. Ni muda mrefu sasa zaidi ya miaka minne, nimekuwa nikiota ndoto. Ndoto hii mara zote...
Back
Top Bottom