Mm najaribu kumfuatilia comedian mmoja anaitwa Coy Mzungu.
Sasa hivi ana program ya dating ili apate mke wa kuoa. Hivi mkuu unatarajia pale apate mtu sahihi kweli.
Wazazi wetu walianza kuangalia chimbuko la mtu, ukoo wao ukoje na vitu vingine vingi ndio maana walipata wake sahihi.
Siku moja...
Brother mwanamke hapendi. Wapo lkn sio hao ambao vijana wengi wanawakimbilia.
Vijana wengi wanakimbilia kwa wahuni wa kitaa na kuacha wanawake wanaoweza kupenda kwa dhati kabisa.
Hakuna slay qeen anaependa bro.
Habar za wikiend wanajamvi.
Poleni na pirika za wiki nzima na misukosuko ya kila aina. Haijalishi umeivuka kwa namna gani lkn upaswa kumshukuru alie juu.
Naandika bandiko hili kuomba ushauri wa dhati kabisa.
Ni muda mrefu sasa zaidi ya miaka minne, nimekuwa nikiota ndoto.
Ndoto hii mara zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.