Pole mkuu naelewa mke anauma sana,chamsingi zidi tuvuta subra tulia kimnya hakuna lisilo kwisha,usichukue maamuzi yoyote hasa kipindi kigumu kama hiki.
nakubaliana nawe, kama vifaa vya kujiandikisha havitoshi itawezekana vipi vifaa vya kupigia kura vipatikane? Huu ni mpango wa kuvuruga uchaguzi kwa makusudi ulioandaliwa na CCM baada ya kuona maji kuzidi unga.
Kila kilichoanza kina mwisho wake, kila aliyezaliwa hatima ni kufa na kila anayeanza kutembea na kukimbia huhitimisha kwa kufikia ukingoni ndicho kinachoendelea kwa CCM. Sawa na sikio lisilosikia dawa, vurugu moja kwa moja hakuna unafuu wo wote. Angalia Kikwete anazidi kuwagawia watu ulaji...
Sidhani mleta mada anamaanisha ni kampeni za uchaguzi, ila ukuzaji vipaji vya vijana na kuwawezesha kimaisha. Kufanya hayo si lazima uwe mbunge, ye yote nafasi ikukuruhusu inawezekana.
Tukio linajieleza, na meelezo kwamba kiingilio kilikuwa kiasi gani na idadi ya watu waliohudhuria inaonyesha waliondoka na kiasi cha kuwaridhisha hawa wasaanii wa ngoma ya asili.
Ubunifu huu nimeupenda, si kwenye muziki wa kizungu tu, kuna ngoma za asili kama hii naona hata uvaaji wake...
Enzi hizo ngoma hii ilikuwa ya wanaume tu na akina dada waliserebuka kwa ile ngoma yao ya kukata mauno iitwacho chihoda, lakini naona siku hizi ni full mchanganyiko mabibi na mabwana.
Kuna mtu anasumbuliwa kwa muda sasa anatiliwa dawa kiintelijensia (kwa siri) muda wote ananuka madawa, na yanapopungua wanaongeza tena. Kisaikolijia inamgharimu na kukosa raha kama walivyo binadamu wengine.
Hapa Jamii forums hapakosi wenye uchungu kwa wengine, wenye moyo mwema na upendo wa...
Kuna jambo nimeona mtu anasumbuliwa na mazingira ya kiintelijensia anafuatwa kila aendako na kumwagiwa madawa kwa siri. Anasema anaonja kabisa na kuhisi kumwagiwa bila yeye kuwaona.
Kila nguvu ya dawa ikipungua wanaongeza tena. Hata walio naye wanasikia harufu ya madawa hayo. Inamfanya apate...
Kauli ya kuingia msituni ingetolewa na mmoja toka upinzani leo angekuwa anasota jela, lakini serikali ya CCM kwa jeuri yake wakampigia makofi na Mungu mwenye haki kaamua kumwepusha na azima ya kwenda msituni kwa kumshtukizia bila kuonja maumivu ya kipekee yenye kumpa muda wa kukumbuka...
Haijawa wazi hapa sasa mmoja amejasiri, sasa huyo mumewe Prosper Mbena aje akanushe kama mkewe hakuchukua pesa hizo, Wengine tulianza kumfikiria Mke wa Rais kumbe si kweli, pengine Kikwete atatoka msafi, kuna wanaomharibia na kumchafulia Ikulu yake.
Mwaka huu kabla hatujafikia Uchaguzi Mkuu...
Labda wananchi hawajataarifiwa rasmi kuwa shirika la umma la Umeme Tanzania (TANESCO) limebinafsishwa. Kama lingali shirika la umma pesa zilizotokana na shirika hilo iweje zisiwe za umma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.