Mkuu nimeipenda sana wazo lako tangu imeingia jf Leo ni siku ya kwanza kuifurahia yote hayo yameeleweka na yana matokeo chanya naomba uote muafaka wa mawazo haya kwanza tunaazimia kwa moyo kufanya hiki na hiki
Upo saw a sana bro... Ukiangalia ya muhimu yooote yapo chini ya uvungu na hayahojiwi.. What is Faru John by the way???!!, asipokuwepo watu hatutaishi, yeye ndio mjenzi wa miundombinu, watu wanakufa madoctor hawajielezi!! Hawa watu so ndio wajenga nchi na walipa kodi na ndio wanasababisha...
Kumbe tupo wengi tunaomkubali huyu mama.. Naona mama Ni mtu pekee anaejielewa katika Serikali hii.. Wengi hukurupuka sana katka maamuzi na maongezi yao..
Ukisema hivo hauko sahihi... Kila mfanyakazi akipata dharura ya kiofisi na mfukoni hana kitu apande gar bure? Vipi madoctor na manesi? Hii nchi haiko sawa tu.. Hawa wenye magari wanalipa kodi, why mtu utumie service bure wakati mwenzako anailipia kodi? They should pay transport fee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.