Inaonekana unaishi nyuma ya kuda, au hufuatilii vitu, katika hoja ulizotoa zinaonekana hufaham mambo mengi yanaoendelea kwa sasa.
1. Madakatari ndio wanaajiliwa kwa kufanya usaili. Kuanzia mwaka jana.
2. Vyuo vingi wanavyosoma wahasibu na madaktari ndio hivyo hivyo husoma walimu. Mfano UDOM na...
Yeah anasasitiza Vita iishe kwa sababu ashapata advantage tayari. Anashikiria 27% ya eneo la Ukrain. Eneo hili pia ni eneo lenye rasilimali nyingi mno. So, Jamaa ana akili kubwa anajifanya neutral lkn mkienda mezani mashart yake yako wazi.
Kushukuru ni Jambo jema, Kwanini tunamshukur Mungu kwa uhai wakati yeye ndo alituumba na alipaswa kutupa uhai. Lakin tunashukur kwa nafasi na upendeleo fulani. Kushukur humaanisha kuthamini.
Kisaikolojia mtu hujiskia vizuri anapothaminiwa hata kwa mchango kidg anaoutoa kwa watu au jamii...
Umeeleza SGR lakin ushahidi umetoa kwa MGR, nahis ulikua unaangia kwenye tovuti tofaut na uliyokua ukitaka. Ungepaawa kuuliza watu kabla ya kuleta uzi.
Israel ni wayahaud (Jews) sio Wakristo. Takriban 76% ni wayahaud, 18% waislamu na 1.6 % ndo Wakristo. So, Unashindwa kutifautisha ukiristo na uyahud??? Au badili dini uwe myahudi maana wayahudi sio wa kristo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.