nasubiri wajuvi wa mambo waje waniweke sawa hili la mimi kumshikiniza muajiri aniachishe kazi kwa uzembe wangu baada ya kukopa hizo pesa. ikiwa kama iko okay
watanikoma!
mzee wa chato atajuaje amefanya kazi?
atapata makofi ya wananchi saa ngapi?
cheo atapanda lini akifanya kwa mtindo huo?
hawa na aliewachagua akili zao sawa kabisa.
broo nitakufata soon kwa njia hii!
nataka niweke mradi wangu ukifikia kwenye break even point naingia bank nakopa to the maximum hata 25M.
Shida yangu kuna mtu kanitisha eti ukikopa pesa baadae watakutafuta uzilipe( wazo langu nataka nikope then niwe mtoro na mzembe kazini wanaifukuze na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.