Muda si mrefu hiyo Burundi mtaisikia vita ya msituni na waasi.Huwa nashindwa kuelewa Binadamu hasa aina ya Maraisi kama huyo kwa nini wasiwe na kiasi na kuwaonea huruma akina mama na watoto kwa tamaa za kubadili katiba.Mwisho wake ni nchi kutotawalika Yetu macho.Mungu Ibariki Afrika
kwakifupi tuseme tu ya kwamba sasa ameingia ktk kambi ya ushindi urais oct 29 2015,ama yeye,au Magufuli au Mwakyembe. mtandao wao ni wa ushindi sasa,sasa kitakachobakia nikupata baraka za Mh.Rais kikwete na marais wastaafu.pia nawashauri wafuatao baadhi ingawa wapo wengi lkn wawemo ktk mtandao...
Naungana na mawazo yenu ya kuwa huyu mzee hii ndio nafasi yake hasa katika kundi lao la wapinga Ufisadi na ambao wanamatumaini ya kubaki ktk system na taasisi ya uraisi 2016.bila ya kuwasahau Mwakyembe na Magufuri wana nafasi kubwa ya kuendesha serikali ijayo.
Mtu pekee aliye na uwezo wa kututoa hapa tulipo baada ya Mh. kikwete kustaafu ni Magufuri peke yake hilo halina shaka John anajulikana kote kwa uadilifu na uchapakazi wake.Hata mh Mkapa anamkubali ndio maana kampa hotuba zake zote. hiyo nayo ni dalili njema
Ninachotabiri iwapo CCM watalazimisha kura ya wazi hakutakua na maana yoyote ya kutunga katiba tena ni heri waondoke tu hapo dodoma wakaendelee kujenga Taifa.
Hongera mh.Nape bado Mh Zitto nae ameremete tumuone maana nyie na wengine ndio kati ya wanasiasa vijana mnaochiwa nchi hii mjifunze kuwa na majukumu ya kifamilia uongozi bora huanzia ngazi ya familia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.