vitambulisho vimetolewa vingi saana vipo kwenye ofisi za serikali za mitaa lakini cha ajabu hamtaki kwenda kuvichukua mnakuja kulalamika huku, ulitaka wakuletee nyumbani kwako.....jifunzeni kuwa watu wakujitahimini na ww umefanya jitahada gani kuliko kuwa mlalamikaji tu hovyo nenda ukatafute...
huku kwetu nsiku za nyuma kdg ndg mwandishi, kulikuwa kuna utaratibu wa kubandika mapingamizi inaitwa objection, huwa zinabandikwa kila mtu aone, kama kuna shida kwa mhusika mtu yeyote anatoa taarifa au kama kuna taarifa imekosewa basi unapewa muda kupitia karatasi hizo ndani ya siku kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.