Kama ww niwa meru nenda mshahara wako upo maana nackia wote waliletewa kama hujapata bac kunamakosa ulifanya au wenyewe halmashauri ndo walifanya ukifuka anzia ofic ya utumishi
Hatimae serikali imetoa kauli kuhusu walimu wapya ambao hawajapata salary yao ya mwez 5. Swali liliulizwa na Mh. Rage mbuge wa Tabora mjini akitaka kauli ya serikali kuhusu walimu wapya waliopangwa jimboni mwake pamoja na halmashauri nyingine ambao hawajapata salary yao. Jibu lilitolewa na Mh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.