Recent content by antiwela

  1. antiwela

    Pupies for sell

    Bei maelewano mkuu
  2. antiwela

    Pupies for sell

    Ni cross rhodesian ridgeback
  3. antiwela

    Pupies for sell

  4. antiwela

    Mahindi yanauzwa!!

    Salaaam!! Natafuta mteja /wateja wa kununua mahindi. Nina gunia 200 kwa sasa bei Tsh 65000 kwa kila gunia..
  5. antiwela

    Kabila la wanyakyusa

    Undugu wa wapare ni noumaaa avaee... lol yani kamba yao haiungagi chaaaa.
  6. antiwela

    Vodacom wahurumieni wateja wenu,acheni wizi!

    heri mimi nimewahama long time kitambo. lol. niko Zangu kwa baba laoooo¡
  7. antiwela

    welcome airtel

    vodacom byebye nyie kazi uizi mtupu. ngashtuka!! airtel nitakupenda daima nitakutumikia milele na milele. voda mmeniibia vya kutosha. kazi kunilazimisha nijiunge kila siku halafu nikikataa mnafyeka pesa zangu zote zilizo kwenye acc yangu. msonyoooooo. nimewavumilia weee sasa nimeamua kutengana...
  8. antiwela

    Hii habari ni ya kweli?????

    kwaheri vodacom! umeniliza vya kutosha na kuniibia vya kunitosha. karibu airtel mtandao wa kipekee:) nitakupenda na kukutumikia milele. Amen! RIP VODAAAA.
  9. antiwela

    Jide Komando uso ulivyo mgharimu mamilioni

    hata kama hana mvuto lkn pesa anazotengeneza au kuingiza ni nyingi kuliko huyo demu wako mwenye mvuto. kikojoleo cha G kinamtosha acha kupiga keleleeee
  10. antiwela

    Nimelizwa 4,000,000/= Jibu ya Arusha wapo wengi waliolizwa kilio chetu

    me nimeongea naye kwenye simu mara ya mwisho jumatatu ya wiki hii akaniambia nimcheki siku inayofuata yan j4. yani ninavyokuambia hadi sa hv najaribu no zake hazipatikani n'goo. YANI MAJANGAAAAAAA. KELEUWIIIIIII.
  11. antiwela

    Hivi itakuwaje shetani akiokoka?

    tutaishi milele. full maraha na mashangwe itakuwaje dili sasa?? kwa pamoja tuungane tumuombee shetani basi ili aokoke ili tuone itakuaje
  12. antiwela

    Nimelizwa 4,000,000/= Jibu ya Arusha wapo wengi waliolizwa kilio chetu

    aiseee acha tuuuu me nimelizwa m50 cash ww unalilia m4???? tuko wengi kinoumaaaa. ila mm sina machungu kivileeeee nilishakombaga faida zangu zakutosha mkuuu. nilikua nachukua faida kila mwezi. sasa hivi mkurugenzi kasepa zake mbali hata hatujui alipo. yani aombe nisimkamate.
  13. antiwela

    Hii habari ni ya kweli?????

    Mkuu una maswali mengi kwani wee ni polisi??? Me nimetumiwa msg hii kutoka kwenye no nisiyoifahamu. So nimecopy msg jinsi ilivyo nakuileta hapa. Ili nijue kama ni ya kweli au kama kunaaliyetumiwa ujumbe kama huu. Asante mkuu
  14. antiwela

    Hii habari ni ya kweli?????

    Habari zilizotufikia hivi punde. Mtanzania yeyote kaa makini usiokote kitu chochote ambacho unamashaka nacho,kuna bomu zimerushwa toka nchi jirani malawi/rwanda zaidi ya 30zenye uzito usiopungua tani 100. Hivyo basi uonapo kitu kipo kama chupa la chai chenye rangi ya fedha “usikiguse” piga no...
  15. antiwela

    hallow

    hodiiiii
Back
Top Bottom