Unaenda wodi wa wakazi kutafuta bikra? Huyu mkali1.5tr yule ndo hiyo!Ccm hawawezi fungana.
Na hata fisadi ahame cdm hawawezi mfunga
Ufisadi Ni mfumo wa chama chao.Sawa na kumvuta mwezi aliyezama pangoni auliwe mara paa baba ako yupo nyuma u
Yupo sahihi haswa huyu.
Mafisadi wooote...
Tunamtesa singa singa tu!
Inasemekana kulikuwa na Ac mbili, moia ndo ile, jk akasema siyo zetu.
Akina chenge etc
Ila ccm?????wa najua kulinda mafisadi
Nawaza change, tibaijuka akimbie chama leo tuone itavyokuwa
Wiki hii wa Lumumba hatua cha kucoment humu, hadi akili ikae Sawa.
Kila wapinzani wasemacho tunaona mavi tu.
Wacha tuendelee mpaka Siku mchina ake kuchukua bandari. Kaindoka yule kaja huyu wa kukopa sasa ajae atakuja wa kukumbana na wenyewe wanataka pesa zao, ndo bandari, mbuga etc.
Ok hongela...
s
ijui hapa wale CCM kindakindaki wanasimamia wapi? juzi tu kuna waliokatwa kwamba siyo watanzania, mara korogwe, nazani buyungu kimewafunza kitu, wenye akili watapita na kujifanya hawayaoni ila mazwazwa ya kutumiwa yataendelea bila ya aibu kuytetea hili,
2020 huu mchezo utaonekana wa kawaida...
SADC na CDM wapi na wapi? Kagame cheo chake unakijua mkuu? ingekuwa njema sana kama tunaondoa ushabiki wa vyama katika masuala haya. CDM hakijawahi kushika nchi, CCM imeshika miaka mingi sijui 50,lakini kero kubwa ya CCM ni CDM au wapinzani. Pigeni kazi, maendeleo hayahitaji kuimbwa wananchi...
afu mpuuzi mmoja anasema huyu hanunuliwa huyu? anaunga juhudi au maslahi binafsi? ila 2020 hapewi kiti, hesabu zake hazjaenda vzuri, angekuwa mjanja angesubiri 2019 wakati pamoto hata ndani ya chama ccm ndo aende, anapoozwa mwaka huu na mwakani tu
kuna tutachoiga tu ili kuongeza mapato
kama siyo uganda, basi huku na kama laa basi Misri, ukiwa na followers kadhaa unahesabika kama chombo cha habari, unalipia tozo kama vyombo vyengine
ik le
Itakuwa moja ya ahadi
uvunjwaji wa katiba ya chama.
dhalau kwa wanachama kwani wapo wenye vigezo zaidi
ingefanyika kura za maoni sehemu husika wageni wasingepita hata kwa rushwa.
"vijana tengenezeni majina nje ya chama kwanza then ukirudi huku una pata shavu, bado tuna miaka zaidi ya 13...
kuna kipindi watu walihoji tukawaambia hakuna tatizo ni mitambo tu ndo anafunga huyu dangote, kumbe twiga na walikuwawamefunga???ni viwanda vipi mnavyosema 3000+ kumbe vya kale vinatushinda, tuache usanii aisee.
wacha tusonge kuunga juhudi za mkuuu, haya mengine hayatuhusu saana japo kujenga ni...
"ccm kwa kipindi hiki kinapokea watu kwa mafuriko, ni afadhali kama walitoka kwao 2015, ila kama wapya kabisa wajiangalie sana.mwenyekiti anawaita almasi zilizopotea sasa zikija anazitumia, kwa kweli bahari ikitulia hawa wengine waliozoea kupiga mbizi nna uhakika wataanza piga mbizi sasa wakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.