Kama ulishawai kufanya mpz na mchaga yeyote au mtu anaetoka ukanda huo utakubaliana na Mimi kuwa Simu zote hata kama ndugu yako ukiona kaoa Mke was kichaga kaoa sura sio tendo la ndoa hawajuagi kabisa hivyo wolper asitudanganye hapa angekuwa anajua asingekua anaachwa awauzie wasiojua historia za...
Naomba nijue hiyo training inafanyika lini na kama ni dar tujue tu nakuja au mrekodi then tanunua CD za masomo tusome mi naitaji kuwa bilionea bhana na hicho kitabu pia na pia Mimi nimefungua demo ya Fx kuna mwalimu wangu ananipigia simu kutoka malekani ananifundisha jinsi ya buying and selling...
Sio kwamba aligeuka nyuma kwa kugeuza shingo yake LA hasha Bali zile fikra za mawazo kichwani du tumeuacha uzuri wa miji hii ilokuwa na starehe za kila aina ndo kugeuka huko ili unielewe takupa mfano mwingine thabiti Musa vua viatu hapa ni mahali patakatifu yaani aache zile hasira zake kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.