Recent content by Anthony10

  1. A

    SoC02 Mabadiliko ya mfumo wa elimu ili kijana wa Tanzania aweze kushindana katika soko la ajira kitaifa na kimataifa

    nipende kuchukua fursa hii kuipongeza sana serikali ya Tanzania KATIKA jitihadaa zake za kuhakikisha kila Mtanzania anapata elimu angalau ya sekondari ili kufukuza ujinga ,hii Ni baada ya kuifanya ELIMU ya msingi na sekondari kuwa bure, lakini ELIMU ya Tanzania bado haijafanikiwa kumkomboa...
  2. A

    Natural remedies encyclopedia

    Kinauzwa ,bei in 150,000/-
  3. A

    Natural remedies encyclopedia

    NATURAL REMEDIES ENCYCLOPEDIA PRACTICAL, LOW- COSTING THINGS YOU CAN DO AT HOME TO TAKE CARE OF YOURSELF AND YOUR LOVED ONES The best folk remedies of earlier generation combined with modern medical and nutritional facts. (By Vance Ferrell and Dr. Harold M.Cherne M.D.) Price TSH.150,000/-...
  4. A

    Majibu yangu kwa Eric Shigongo kuhusu umaskini

    Hebu nipe andiko moja linalosema kuwa umaskini NI laana (laaana kutoka Kwa Nani ??) Mkuu Acha kujichanganya kama UMASKINI NI laana basi maskini wamelaaaniwa ni heaabu ya darasa la pili...huwezi kusema kuwa UMASKINI NI laana LAKINI maskini hajalaaniwa (huu ni uvivu wa connect dots... )
  5. A

    Majibu yangu kwa Eric Shigongo kuhusu umaskini

    Kutoka insta, Shigongo anadai kwamba umaskini ni laana ,na mafundisho ya dini yanasababisha umaskini huo kwa wakristo.. Majibu yangu Erick Shigongo sio watu wote wanaweza kuwa na fedha za kutosha kama unavyodhani ,hakuna mahali katika biblia panaposemwa kwamba "Umaskini ni laana" hakuna kitu...
  6. A

    ASALI MBICHI

    Kwa wale wanaohitaji asali-halisi isiyoongezwa chochote, sasa inapatikana kwa wingi Bei yake ni 11000 kwa Lita moja , 52,000 kwa Lita tano Tuna sambaza kwenye mahoteli, maduka ,supermarket ,office ,nyumbani nk .. Tunapatikana Mbezi -Dar es Salaam Mawasiliano: karibu
  7. A

    Wapi naweza pata Korosho kwa bei ya jumla?

    Mkuu zinapatikana kwa sasa
  8. A

    MIPANGO YA AMANI NA MAANDALIZI YA VITA

    Tunaishi katika ulimwengu huu wa ajabu. Kila mmoja anaafiki kwamba tungeipatia nafasi amani; lakini basi, zile chuki zilizokandamizwa kwa kipindi cha karne fulani zilizopita, zinalipuka na kuwa vita ya wazi. Nabii Mika na Yoeli walitabiri kwamba wakati ule ule mataifa yatakapokuwa yanasema juu...
  9. A

    Ukatili wa Kanisa Katoliki, Papa aomba msamaha

    Mkuu na mauji ya watu zaidi ya 50M yaliyotekelezwa na kanisa KATOLIKI tangu mwaka 538-1978 AD ,watu WALIUAWA kaa kupinga kutabua kanisa KATOLIKI kama kanisa Mungu maana lilikuwa linaingiza mapokeo na kuwafanya sehemu ya ibada ,hivyo wale waliokataa mapokea na ibada za SANAMU WALIUAWA PAPA Pia...
  10. A

    Ukatili wa Kanisa Katoliki, Papa aomba msamaha

    Mkuu kasome vizuri, watu wanafika mwisho wa nyakati we unasema wanyama wa ufunuo na daniel hawajaotokea ,acha vichekesho
  11. A

    Ukatili wa Kanisa Katoliki, Papa aomba msamaha

    Nani wa kumlaani mleta Uzi ,jibu hoja ,lete ufahamu wako ,kama hujua jifunze, chukua hatua
  12. A

    Ukatili wa Kanisa Katoliki, Papa aomba msamaha

    Kama Hujasona unacomment nini ?
  13. A

    Ukatili wa Kanisa Katoliki, Papa aomba msamaha

    Historia inaonyesha wazi kuwa Mamlaka ya Papa ilitesa na kuangamiza Wakristo, hasa katika kilele cha utawala wake katika karne za kati. Wanahistoria wengi wanasema zaidi ya watu milioni hamsini waliuawa kwa ajili ya imani zao katika kipindi cha dhiki kuu.Sababu kuu ya kuuawa na kuteswa kwao...
Back
Top Bottom