Wapi naweza pata Korosho kwa bei ya jumla?

Wapi naweza pata Korosho kwa bei ya jumla?

Korosho nzuri ziko Mtwara au Lindi.. na ni ghali sana.. Kuna za aina mbali mbali.. zilizookwa locally, zilizookwa kutoka kiwandani na zile za kukaanga local zote ni zile zilizobanguliwa.. pia kuna baadhi hukaanga kwa mafuta ya kupikia na huwekwa chumvi kidogo.. hizi ni ghali zaidi.. kwa kifupi ukiweza kuwa na mtaji wa kilo 150 za korosho na ukiwa na soko zuri basi kimaisha umetoka maana biashara inaingiza pesa sana..
Mkuu zinapatikana kwa sasa
 
Back
Top Bottom