Kuna uhusiano wa Moja kwa Moja kati ya uislam na majini. Uislam-majini-albadiri.
Waislam wengi (mfano Mashekhe) ni waganga, utawaoana na Pete za majini.
Kwanza rekebisha uandishi, usiandike "hii nyimbo", usahihi ni huu wimbo.
Pili, Tatizo la ujumbe katika nyimbo nyingi za wasanii ni walaji. Inaonekana nyimbo za mapenzi zenye maneno makali ndio zina soko.
Wangeimba ukulima wa kisasa mngewaangalia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.