Sherehekeni kwa muda, mnaenda kupewa somo

Sherehekeni kwa muda, mnaenda kupewa somo

Live bila chenga
 

Attachments

  • 1772335687802.jpg
    1772335687802.jpg
    79.6 KB · Views: 14
  • 1772337953646.jpg
    1772337953646.jpg
    64.4 KB · Views: 15
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Daah! Umeandika kwa uchungu sana Mkuu. Pole sana ila ndio hivyo Ayatollah is no more!
 
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Bado wanapumua 😅😅😅
 
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Hata wakatk wa Urusi na Ukrain tuliambiwa Unga wa Ngano utakata, leo tu nimekula Chapati nne na Supu ya Kondoo
 
Putin ajifunze kwa wenzake

Yeye ana hangaika na zelensiki miaka 4 ila mwenzake USA kombola moja tu lina ondoka na mtu.

Ila hawa jamaa USA na Israel ni nyoko sana aisee. Yani wameua kiongozi wa nchi na bado wakawa wanatumiwa picha za maiti yake
Supa pawa ana nguvu tu akihanganika na raia wasio na silaha, Zole anamtoa jasho
 
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Kurupukeni tena kwa maamuzi ya jazba badala ya intelegensia mpigwe kipigo kingine cha mbwa koko 😄😄
 
Putin ajifunze kwa wenzake

Yeye ana hangaika na zelensiki miaka 4 ila mwenzake USA kombola moja tu lina ondoka na mtu.

Ila hawa jamaa USA na Israel ni nyoko sana aisee. Yani wameua kiongozi wa nchi na bado wakawa wanatumiwa picha za maiti yake
Kwenye ile top 10 ya viongozi wakuu wa Iran kuna Mossad kibao 😄
 
Acha kutuuzia uoga ni kwamba amekufa ku na amekufa kwel sa kutuambia kuna madhara dunia nzma ni kama hyo dunia ndo imemuua ni propaganda.na kama itakua hivo basi hata wewe utakua miongoni mwa watakao dhurika. Natamani aje bongo achuku huyo mwingne hata ampeleke huko awe housegirl wake sio mbaya.
 
Back
Top Bottom