Dhu haya wanakuja na nyie warembo njoo tuwaone kwanza kama qualifications za kutoka na mabilionea sio sura ka lichapati unataka bilionea kama unataka mume mwenye gar kuwa nayo kwanza ww
Kwann usisome diploma ya nursing tu maana clinical officer hata assistant yake huwez kupata maana qualifications za CA ni D flat kwenye physics chemistry biology English na math
Habarini za jioni watu wa mungu. Nilikuwa naomba ushaur jui ya jambo hili ambalo linaniumiza kichwa mimi nimechaguliwa certificate ya nursing ila nadhan kulingana na competition ndo nikajikuta nimechaguliwa certificate ingawa nilikuwa navigezo kabxaa vya kusoma diploma ya nursing maana walisema...
Au njoo itaga seminary kama baba na mama wqna ndoa na uwe mkatoliki ada simple kinouma yaaan kuna dogo langu linapiga hapo ila kasumba ya hapo ety o lever wanafaulu sana tofaut na A lever ila tena watakushaur combination ya kusoma sio utake pcm wakati.............,..........
Hivi wakuu kuna uwezekano wa mimi kuondelea kusoma diploma ya nursing ingawa nimechaguliwa certificate ya nursing mwaka huu na nina qualifications za kusoma diploma kama walivyosema kwenye guldebook kuwa lazima awe na C ya chemistry na biology na D ya physics na english ila nimechaguliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.