Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,894
- 31,681
Au A lev coordinator
Yah mwaka huu ndo wanatoa form six wa kwanzaWana advance?
Marian na Feza hahahahaKwayeyote anayejua shule za PRIVATE ADVANCE zenye ufauru mzuri wa masomo ya sayansi yaani PCB,CBG,PCM msaada tafadhali nataka kujiunga mwakani ..nawasilisha
HahahahaFeza boys, Feza girls, Marian girls, Marian boys,....
Tofauti na hizo mkuu zenye ada nafuuMarian na Feza hahahaha
Hahahaha
Hahahaha hapo umeeleweka, hizo mbona nyingi tu ingia kwenye websites zao na uangalie matokeo yao ya kidato cha sifa kila mwaka utaona mwenyewe badala ya kuambiwa ili usidanganyweTofauti na hizo mkuu zenye ada nafuu
Sijakuelewa unamaanisha nn mkuu??Hahahaha hapo umeeleweka, hizo mbona nyingi tu ingia kwenye websites zao na uangalie matokeo yao ya kidato cha sifa kila mwaka utaona mwenyewe badala ya kuambiwa ili usidanganywe
Kwa mfano Fungua website ya mbezi zote mbili za daresalaam uangalieSijakuelewa unamaanisha nn mkuu??
Mkuu competition ya diploma walikuengua nn maana najua uliapply brotherKwayeyote anayejua shule za PRIVATE ADVANCE zenye ufauru mzuri wa masomo ya sayansi yaani PCB,CBG,PCM msaada tafadhali nataka kujiunga mwakani ..nawasilisha
Njoo buluba sec ipo shinyanga kila comb ipo na ada ni ndogo kaka na kuna day na boarding kama unaweza life la geto ndo mahara pake hapaKwayeyote anayejua shule za PRIVATE ADVANCE zenye ufauru mzuri wa masomo ya sayansi yaani PCB,CBG,PCM msaada tafadhali nataka kujiunga mwakani ..nawasilisha
Au njoo itaga seminary kama baba na mama wqna ndoa na uwe mkatoliki ada simple kinouma yaaan kuna dogo langu linapiga hapo ila kasumba ya hapo ety o lever wanafaulu sana tofaut na A lever ila tena watakushaur combination ya kusoma sio utake pcm wakati.............,..........Kwayeyote anayejua shule za PRIVATE ADVANCE zenye ufauru mzuri wa masomo ya sayansi yaani PCB,CBG,PCM msaada tafadhali nataka kujiunga mwakani ..nawasilisha
taja range ya ada utajiwe shuleTofauti na hizo mkuu zenye ada nafuu
Ndio kakaMkuu competition ya diploma walikuengua nn maana najua uliapply brother