Recent content by another

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

    Mwanamke ni mtu pekee aliyeongea na shetani direct na hatujui waliongea nn tofauti na kudanganywa kula lile tunda so hawa watu hawawezekani kirahisi jamani tukubali tukatae ila ukifanya tafiti utaelewa tuu anayekataa anakuwa tu ameamua kuziba masikio yake na macho .
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amenitusi kwenye simu

    Akiingia kwene 18 chomoa betri
  3. A

    JamiiForums Tanzania Muhimbili kuna utaalamu, dawa na vifaa tiba vya kutosha? Mbona majeruhi wengi wa moto wa lori la mafuta wanafariki?

    Mi nawashangaa mnapata shida kubishana na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria tena wakipumbavu kabisa mtu swala la afya za watu wanaingiza siasa si ni ujinga huo? Acheni siasa bhana lile tukio lishatokea wataalam wanakesha mahospitali kupambana kadri ya uwezo wao kuwanusuru afu wapumbavu...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

    Umeharibu ulipoizungumzia simba tuu hv vitu vinaenda pamoja haviachani
  5. A

    JamiiForums Tanzania Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

    Wataelewa tuu , tukikaa kikao cha wanaume kuwajadili umekula kwako
  6. A

    JamiiForums Tanzania Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

    Mkuu nimecheka sn hadi chozi limenitoka.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Enzi za shule Nilishawahi kupata demu sababu ya hili tunda

    Linaitwaje hili tunda
  8. A

    JamiiForums Tanzania 50 killed in New Zealand after gunmen attack Mosques(Waislamu wavamiwa Msikitini New Zealand; 50 wauawa)

    Fact Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom