Vijana wa kiume nendeni mkasomee mapiko.....mapiko ya kizungu, kichina, kihindi nk.
Upishi ni fani inayolipa sana hasa kwa vijana wa kiume ila wengi hawajui.
Ajira za nje ya nchi ni kugusa tu
Mtanishukuru.
Hayupo mwanamke ambaye utamfuata umtongoze ili umuoe kama first wife na hapohapo ukukubalie kuletewa mke mwenziwe.......
Kinachotokea huwa ni utapeli wa kuaminiwa...huwa inaanza hivi
Mtu anaoa mke vizuri tu...akishamzalisha watoto wawili+
Baadaye, anakuwa na hawara nje kisirisiri.....Baadaye...
2Proud, ndio oldest bongo fleva artist.
Kwa mara ya kwanza naanza kumsikia Febuary 1997 kipindi hicho nikiwa kifaranga kabisa.... RFA Fm radio
Enzi hizo wapo
1.Basil Mbakile
2. Rehema Salim
3. Peter Omary
4. Stella Mathius
ETYMOLOGY
Huyu SUGU Mnayemjua leo, alianza kujulikana kwa jina la 2...
Hii tabia wamekopi toka kwa Wachungaji na manabii wa kilokole.
Akina Gwajima, Mwamposa na GeorDavie wamezungukwa na ulinzi mkali wa kimwili/ kibinadamu..
Halafu wanakuhimiza wewe mfuasi wao umtegemee MUNGU kwa yote..
Wakati yeye hauamini ulinzi wa kutoka juu....wana mabaunsa yaliyoshiba, wana...
Mamelodi hawaokoti okoti wachezaji kama sisi.
1. Ronwell William ni Kipa mzawa wa palepale.
2. Thapelo Maseko ni kijana waliyemkuza wenyewe.
3.khuliso Mudau Ni beki mbili tegemeo waliomtengeneza wenyewe.
4. Teboho Mokoena Ni kijana wa palepale SA.
5. Kuna yule midfield aliyejiua juzi. Jina...
Timu za Tanzania zinaongoza kwa kuzoazoa wachezaji mseto kutoka Drc, Senegal, Nigeria, Mali nk...tukifuatiwa na Al Hilal ondurmana ya Sudan.na kule Libya.
Nilichokuja kugundua Wachezaji wengi wanaocheza mpira ndani ya Africa hii, wana mfanano mkubwa sana wa kisoka...
Ni nadra sana kupata...
Mnafanya makosa sana kumlazimisha Samatta acheze kiwango kilekile alichokuwa nacho miaka 10 au zaidi nyuma..mnasahau huyu ni binadamu mwili na kasi lazima ibadilike.
Naomba niwakumbushe kwamba Samatta akiwa Simba 2010 alicheza lineup moja na hawa wafuatao,
Halafu mniambie, aliokuwa nao wako...
Na hapo Kabakiza miezi 40 tu ofisini,
😆😆, lakini sasa anapenda trending as if atakuwa mgombea tena 2030...
Safari yake ya kisiasa ipo jioni,
Mwaka 2030 atakuwa na miaka 70..
Makiki ya nini tena umri huo?
Maandalizi yapi?
Michuano iliyowahi kuandaliwa nchi choka mbaya kama Gabon, Equatorial Guinea, Cameron, code voire na Burkina Faso
Ije ishindwe kuandaliwa na East African Pamoja bid!
Mnapenda kuyakuza tu hayo mashindano.
1. Kiwango cha chini sana cha ushirikina
2. Ulaji wa Nyama ya kuchoma nu ugali wa mtama
3. Wale jamaa wanapenda sana kukopesha kwa riba.
4. Ni wakarimu sana, hapohapo ni wagomvi sana
5. Ni nadra sana kukuta mwanamke mkurya Malaya
6. Usijaribu kuoa single maza aliyezalishwa na mkurya hata kama...
Yaleyale kama ya Simai.
Mtu anatoa tuhuma nzito kiasi kile halafu Mwenezi wa CCM Taifa akakausha, Spika akakausha.
Wakati Mpina alitofautiana kidogo tu na Bashe kuhusu vibali vya kuingiza sukari alijibiwa na kila mtu....hadi Wasira na kamati ya nidhamu bungeni.
Gwajima alipishana kimsimamo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.