Michakato ya kuhamisha watoto irahisishwe watoto wasomee jirani na makwao...iwe ni marufuku mtoto asiye toka kata X kusomea kata Y kwa shule za serikali.
Isiruhusiwe vilevile mtoto kusomea mtaa wasipoishi wazazi au walezi wake isipokuwa tu kama shule haipo hapo.
Tayari tatizo umetatua hapo kwa...
Chadema warejeshe vikundi binafsi vya ulinzi, Red brigade.
Mbona Green guard wao wapo?
Na hiyo ni kazi ya Green guard...
Mawazo Alphonce aliuawa na Green guard.....
Viwepo vikundi vya siri vya watu 20-40 wenye silaha za jadi....
Shabaha ni kujilinda tu, inapotokea uonevu kama huu..siyo kufanya...
Chadema warejeshe vikundi binafsi vya ulinzi, Red brigade.
Mbona Green guard wao wapo?
Na hiyo ni kazi ya Green guard...
Mawazo Alphonce aliuawa na Green guard.....
Viwepo vikundi vya siri vya watu 20-40 wenye silaha za jadi....
Shabaha ni kujilinda tu, inapotokea uonevu kama huu..siyo kufanya...
Yohana nkomola, alipotelea wapi.
Alikuwa na wenzie kina kibabage, Ramadan kabwili, Ally Ngazi, Kelvin Nashon, Ally Msengi, Israel mwenda, Jobs nk.....Serengeti boys ya 2017...walitakiwa watoe droo tu, wakafungwa na Niger, wakafeli kufuzu world cup ya vijana....
Yohana Nkomola baada ya kuachana...
Tanzania U 17 vs Misiri U 17 head to head
13/10/ 2012 Tanzania U 17 3-0 Egypt U 17
27/10/ 2012 Egypt U 17 0 vs 3 Tanzania U 17
17/3/2025 Egypt U 17 0-1 Tanzania U17
Leo 28/5/2026 Egypt U 17 0-1 Tanzania U 17
Hawa vijana wasiposifiwa na kupambwa na media, na zile hamasa mara nyingi tunafanikiwa...
Msajiri, polisi na mahakama ndio wanazidisha provocation kwa watu.
Sioni dhamira ya kufikia mwafaka wa kitaifa.....Huwezi kuendelelea na maisha yaleyale ya kamatakamata, kesi, fungiafungia halafu utegemee uje ufanye maridhiano na watu walewale.
Halafu mambo mengine mbona ni negligible tu...
Mashindano haya yanakuzwa bure kuliko uhalisia wake....hayana ukubwa huo.
Tanzania haiandai peke yake...kuna Co-host nchi 3.
Tanzania itahost magrupu matatu au manne mwisho...kwenye miji 3 namely
Dar, Arusha na Unguja.
Isitoshe nchi zenye jeuri ya kusafirisha mashabiki wake ugenini ni chache...
Mashindano haya yanakuzwa kuliko uhalisia wake....hayana ukubwa huo.
Tanzania haiandai peke yake...kuna Co-host nchi 3.
Tanzania itahost magrupu matatu au manne mwisho...kwenye miji 3 namely
Dar, Arusha na Unguja.
Isitoshe nchi zenye jeuri ya kusafirisha mashabiki wake ugenini ni chache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.