Recent content by Anonymous Caller

  1. A

    Je, chatu anaweza kuua jamii ya paka (Simba, Chui, Duma)?

    Ni binadamu mlevi tu ndio huonewa na kila mnyama kuanzia chatu fisi kima nk Au mtoto.kuliwa na chatu ni Aibu isiyo mithilika
  2. A

    Utofauti kati ya Wivu na Chuki

    Nijuavyo Wivu una sides 2. Vp wivu wa kimapenzi unauelezeaje. Vp wivu wa Mungu against miungu.
  3. A

    Simba na Yanga mpaka sasa kutokuwa na Viwanja vyao vyenye hadhi ya Kimataifa? Tatizo ni TFF, Sera au ?

    Ndugu viwanja vyenye international standards ni aghali sana. Wewe mwenyewe si umesikia kiwanja kijacho cha arusha ni bilion 200+ Bajeti ya wote simba na yanga kwa mwaka haifiki Hata bilion 50. Ni ulaya tu ndio vilabu vina viwaja kuanzia Manchester hadi akina luton. africa si mamelodi si al...
  4. A

    Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa

    Juzi juzi hapa nilifika ofisi fulani ya Nida ili nipewe kitambulisho changu baada ya kusikia vitambulisho vya 2020 vipo tayari. in charge wa nida akakiri kwamba ni kweli Id zipo tayari ofisin kwake ila wanasubiri uzinduzi kwanza ndio wavigawe.
  5. A

    Fred Lowassa: Baba hakuwahi kumsaliti rafiki yake

    Kwahiyo mbaya wa Lowasa ni nani (a) magufuli aliyempora ushindi kama inavyodaiwa na kumsweka gerezani mkwe wake, Mume wa Pamela lowassa. (b) Jk ambaye wanadai alichagiza jina lake lisipelekwe NEC (C) sitta na mwakyembe waliomwandama bungeni ajiuzuru. Huyu ana uspesho gani. Mbona Pinda na...
  6. A

    Makusanyo ya Mapato Kanda ya Kaskazini Bilioni 1600 versus Bilioni 648 kanda ya Ziwa: Bado mnadai mna nguvu? Nguvu ni uchumi siyo idadi ya watu

    Sikia Tufanye hivi tu umeshinda. Mbona simple.. We hapo mfukoni una nini. Unajivunia makusanyo ambayo kesho yanaenda kuliwa na mchwa..huyu jamaa vp. Jana/leo madam Rais kaenda Ethiopia na utitiri wa chawa kuzindua sanamu ya mfu.hela zenu wajinga hizo
  7. A

    Sidhani kama kuna haja ya kumlaumu Rais Msataafu Jakaya kikwete Kuhusu ugombea Urais wa hayati Edward Lowassa na kupatikana Magufuli

    Undoubtedly lowassa ni mkubwa kiumri kwa Jk..picha inaongea yenyewe. Siasa/maisha yana mambo mengi. Mtu anayediriki kupiga dili na kupata hela za kula maisha yake yote na descendants wake wote hawezi kushindwa suala dogo kama la ku cheat umri.samahani kutoka nje ya mada
  8. A

    Sioni umuhimu wa uwanja kwa yanga

    Aisee kama wameahidiwa hisani ya kujengewa heri wajengewe Ukileta option mbadala utashagaa kiwanja hutakiona na hela hazitakuwepo.we ni mgeni bongo hii. We unafikiri hata leo balance sheet ya yanga ipo sahihi..ni kwa vile tu timu inapata matokeo ndio maana watu hawahoji...ila hesabu za yanga...
  9. A

    Angalia tofauti ya Rwanda na Tanzania kwenye masuala ya utalii. Tanzania tuna cha kujifunza kutoka Rwanda

    Tanzanie inapokea watalii takriban 1 million kila mwaka..je Rwanda ana host watalii wangapi.naomba nisaidiwe
  10. A

    Haya chukueni upesi haya yafuatayo kutoka kambini huko nchini Ivory Coast

    Samatta hata akiwa PAOK hamalizagi dakika 90...anayebisha anipe ushahidi hata mmoja..na sio PAoK tu hata kule Royal Antwerp. Sasa kwann leo iwe nongwa kutolewa?
  11. A

    Wakati Tanzania tukijidanganya kuokota points kwa Zambia na Congo DR wao wamesema hivi

    Hivi msingi hasa lawama hizi ni nini? Kwahiyo mlitegemea matokeo gani.yaani Tanzania kufungwa na Morroco ni jambo la kushangaa kweli? Hivi mna akili kweli..au mna ajenda yenu...tena morrocco ya nyakati hizi vs Tz ya nyakati hizi. The first fifa ranked in africa vs 30's ranked. Mna viburi sana.
  12. A

    Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

    Taikon mbona anayumba yumba Kiufupi kijana huyu ameporomoka mno kihoja. Me nafikiri sio lazima wala sifa kutunga threads mpya kila siku..ukiishiwa cha kuandika si utulie. Anyway una karama ya uandishi. Hata hoja ya hovyo hovyo ukiishupalia unavuna mashabiki hongera kwa hilo.
  13. A

    Kutokuiweka Taifa Stars kambini kwa angalau mwezi na kuipa mechi za majaribio tumevuna tulichokitaka

    Wewe ni zao la uharibifu wa Waandishi wa habari na wachambuzi. Hivi kama kweli huna majeraha ya akili unaweza kuilaumu au kushangaa taifa stars kufungwa na morrocco? Hivi nyie mnaishi dunia ya wapi jamani au mna pretend au sijui hamtafuti taarifa.
  14. A

    Asilimia mia moja tunapita, ila kuna sharti dogo sana

    Mimi bado nabaki optimistic kwamba tutavuka hatua hii. iko hivi mashindano yana timu 24. Katika hatua hii zinachujwa timu 8 tu. Timu 16 zitabaki kwa hatua inayofuata.. Kwa msingi huu, hata watakaoshika nafasi ya tatu kwny group level (watakuwa 6) wa4 kati ya 6 watafuzu straight kupitia dirisha...
  15. A

    Ukitaka kujua ngozi nyeusi ni laana, mfuatilie refarii anayechezesha Taifa stars na Moroco

    Mwalimu wa stars nae mzembe..wewe una wachezaji wawili wenye kadi za njano tayari..halaf huwafanyii sub wkt inajulikana himid na novatus ni viungo wenye rafu Japo kwa upande mwingne mwl huyu namkubali kwny misimamo yake.
Back
Top Bottom