Recent content by Anonymous Caller

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kabla hujamuoa single Mother jitahidi mjue aliyezaa naye. Kama amekuzidi kipato sitisha mahusiano haraka. Sababu ni hizi;

    Namba 18 hapo😆😆😆😆😆
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali itaanza lini utekelezaji mpango wa mabasi maalum ya wanafunzi? Wanaathirika na gharama baada ya mafuta kupanda bei

    Michakato ya kuhamisha watoto irahisishwe watoto wasomee jirani na makwao...iwe ni marufuku mtoto asiye toka kata X kusomea kata Y kwa shule za serikali. Isiruhusiwe vilevile mtoto kusomea mtaa wasipoishi wazazi au walezi wake isipokuwa tu kama shule haipo hapo. Tayari tatizo umetatua hapo kwa...
  3. A

    JamiiForums Tanzania SONGEA: Watu ambao hawajatambulika wawashambulia kwa mapanga viongozi na wafuasi wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara

    Chadema warejeshe vikundi binafsi vya ulinzi, Red brigade. Mbona Green guard wao wapo? Na hiyo ni kazi ya Green guard... Mawazo Alphonce aliuawa na Green guard..... Viwepo vikundi vya siri vya watu 20-40 wenye silaha za jadi.... Shabaha ni kujilinda tu, inapotokea uonevu kama huu..siyo kufanya...
  4. A

    JamiiForums Tanzania SONGEA: Watu ambao hawajatambulika wawashambulia kwa mapanga viongozi na wafuasi wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara

    Chadema warejeshe vikundi binafsi vya ulinzi, Red brigade. Mbona Green guard wao wapo? Na hiyo ni kazi ya Green guard... Mawazo Alphonce aliuawa na Green guard..... Viwepo vikundi vya siri vya watu 20-40 wenye silaha za jadi.... Shabaha ni kujilinda tu, inapotokea uonevu kama huu..siyo kufanya...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Kote tulikokwenda nimeulizwa, "Kwanini hamkuja mapema? Tumedanganywa sisi, taarifa tulizoletewa siyo alizoandika Samia"

    Hivi limetokea wapi hili...huni sana hili dingi. Halafu linafanana sana na Nabii mkuu GeorDavie...wote wahuni.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Yohana nkomola, alipotelea wapi. Alikuwa na wenzie kina kibabage, Ramadan kabwili, Ally Ngazi, Kelvin Nashon, Ally Msengi, Israel mwenda, Jobs nk.....Serengeti boys ya 2017...walitakiwa watoe droo tu, wakafungwa na Niger, wakafeli kufuzu world cup ya vijana.... Yohana Nkomola baada ya kuachana...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Tanzania U 17 vs Misiri U 17 head to head 13/10/ 2012 Tanzania U 17 3-0 Egypt U 17 27/10/ 2012 Egypt U 17 0 vs 3 Tanzania U 17 17/3/2025 Egypt U 17 0-1 Tanzania U17 Leo 28/5/2026 Egypt U 17 0-1 Tanzania U 17 Hawa vijana wasiposifiwa na kupambwa na media, na zile hamasa mara nyingi tunafanikiwa...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Julio: Makocha Wazawa tuliipeleka Timu AFCON tukatolewa kiuhuni, lilikuwa jambo baya sana lile

    Mwenzie ibenge kalamba shavu, Anaenda kuwa kocha wa mali. Yeye ni kulalamika tu.....hata vital'o tu haimwani, ipo jirani na mashujaa hapo
  9. A

    JamiiForums Tanzania Pep Guardiola ni mbaguzi sana, bora kastaafu

    Hapendelei sana wachezaji wenye miili mikubwa. Ni mwalimu mzuri lakini
  10. A

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani, Mataifa ya Ulaya na Canada wanafuata

    Msajiri, polisi na mahakama ndio wanazidisha provocation kwa watu. Sioni dhamira ya kufikia mwafaka wa kitaifa.....Huwezi kuendelelea na maisha yaleyale ya kamatakamata, kesi, fungiafungia halafu utegemee uje ufanye maridhiano na watu walewale. Halafu mambo mengine mbona ni negligible tu...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Mwana FA: Hoteli zetu hazitoshi wageni AFCON, tunataka kuhakikisha makazi binafsi yanaweza kuandikishwa yakatumika kama Airbnb

    Mashindano haya yanakuzwa bure kuliko uhalisia wake....hayana ukubwa huo. Tanzania haiandai peke yake...kuna Co-host nchi 3. Tanzania itahost magrupu matatu au manne mwisho...kwenye miji 3 namely Dar, Arusha na Unguja. Isitoshe nchi zenye jeuri ya kusafirisha mashabiki wake ugenini ni chache...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Mwana FA: Hoteli zetu hazitoshi wageni AFCON, tunataka kuhakikisha makazi binafsi yanaweza kuandikishwa yakatumika kama Airbnb

    Mashindano haya yanakuzwa kuliko uhalisia wake....hayana ukubwa huo. Tanzania haiandai peke yake...kuna Co-host nchi 3. Tanzania itahost magrupu matatu au manne mwisho...kwenye miji 3 namely Dar, Arusha na Unguja. Isitoshe nchi zenye jeuri ya kusafirisha mashabiki wake ugenini ni chache...
Back
Top Bottom