Recent content by Anonymous Caller

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kati ya Fani zifuatazo unashauri kijana aliyemaliza chuo ajifunze kwa future?

    Vijana wa kiume nendeni mkasomee mapiko.....mapiko ya kizungu, kichina, kihindi nk. Upishi ni fani inayolipa sana hasa kwa vijana wa kiume ila wengi hawajui. Ajira za nje ya nchi ni kugusa tu Mtanishukuru.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kama wanawake wengi wa kiislamu hawapendi ndoa ya uke wenza kwanini wasiolewe na Wakristo tu ijulikane moja?

    Hayupo mwanamke ambaye utamfuata umtongoze ili umuoe kama first wife na hapohapo ukukubalie kuletewa mke mwenziwe....... Kinachotokea huwa ni utapeli wa kuaminiwa...huwa inaanza hivi Mtu anaoa mke vizuri tu...akishamzalisha watoto wawili+ Baadaye, anakuwa na hawara nje kisirisiri.....Baadaye...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Msanii Mr. II aka Sugu akataa "posho" ya TSh. 2m kutumbuiza kwenye tamasha la miaka 30 ya Bongo Flava

    2Proud, ndio oldest bongo fleva artist. Kwa mara ya kwanza naanza kumsikia Febuary 1997 kipindi hicho nikiwa kifaranga kabisa.... RFA Fm radio Enzi hizo wapo 1.Basil Mbakile 2. Rehema Salim 3. Peter Omary 4. Stella Mathius ETYMOLOGY Huyu SUGU Mnayemjua leo, alianza kujulikana kwa jina la 2...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Sheikh Walid na Al had Mussa warushiana maneno kuhusu kumiliki Bastola

    Hii tabia wamekopi toka kwa Wachungaji na manabii wa kilokole. Akina Gwajima, Mwamposa na GeorDavie wamezungukwa na ulinzi mkali wa kimwili/ kibinadamu.. Halafu wanakuhimiza wewe mfuasi wao umtegemee MUNGU kwa yote.. Wakati yeye hauamini ulinzi wa kutoka juu....wana mabaunsa yaliyoshiba, wana...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Tunaweza kuwa tunazilaumu Kamati za Usajili bure kumbe Wachezaji 'Top Class' Afrika hii ni Adimu sana au Wameisha

    Mamelodi hawaokoti okoti wachezaji kama sisi. 1. Ronwell William ni Kipa mzawa wa palepale. 2. Thapelo Maseko ni kijana waliyemkuza wenyewe. 3.khuliso Mudau Ni beki mbili tegemeo waliomtengeneza wenyewe. 4. Teboho Mokoena Ni kijana wa palepale SA. 5. Kuna yule midfield aliyejiua juzi. Jina...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Wydad kuishtaki Simba kwa kumtangaza Seleman Mwalimu kuwa mchezaji wao

    😅😅😅😅😅 Hasa karagwe!
  7. A

    JamiiForums Tanzania Tunaweza kuwa tunazilaumu Kamati za Usajili bure kumbe Wachezaji 'Top Class' Afrika hii ni Adimu sana au Wameisha

    Timu za Tanzania zinaongoza kwa kuzoazoa wachezaji mseto kutoka Drc, Senegal, Nigeria, Mali nk...tukifuatiwa na Al Hilal ondurmana ya Sudan.na kule Libya. Nilichokuja kugundua Wachezaji wengi wanaocheza mpira ndani ya Africa hii, wana mfanano mkubwa sana wa kisoka... Ni nadra sana kupata...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mufti onyesha nguvu za Mungu kumsaidia Sheik Walid Kawambwa, ameonewa. Kuna siku nawe yatakukuta haya haya

    Wewe Una uhakika gani kama ameonewa? Au unasukumwa na mkumbo.... Je, unasemaje kuhusu wale mashehe wengine wa Kigoma na Dodoma waliosimamishwa nae..
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mbwana Samatta ndio mchezaji bora wa soka wa muda wote Tanzania, GOAT

    Mnafanya makosa sana kumlazimisha Samatta acheze kiwango kilekile alichokuwa nacho miaka 10 au zaidi nyuma..mnasahau huyu ni binadamu mwili na kasi lazima ibadilike. Naomba niwakumbushe kwamba Samatta akiwa Simba 2010 alicheza lineup moja na hawa wafuatao, Halafu mniambie, aliokuwa nao wako...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Senegal yamtimua kocha Pape Thiaw na benchi lake la ufundi

    Beki 3 wa zamani wa Senegal Habib Beye ni Head Coach wa Marseille. Beki 3 mwingine mstaafu wa Senegal 2002 Omar Daf yupo Amiens anafaa pia..ni wao tu.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amtembelea Hospitali Pacome kumpa pole

    Na hapo Kabakiza miezi 40 tu ofisini, 😆😆, lakini sasa anapenda trending as if atakuwa mgombea tena 2030... Safari yake ya kisiasa ipo jioni, Mwaka 2030 atakuwa na miaka 70.. Makiki ya nini tena umri huo?
  12. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Rwanda inaweza kupewa AFCON na Tanzania ikasitishwa ndio maana nguvu imepungua

    Maandalizi yapi? Michuano iliyowahi kuandaliwa nchi choka mbaya kama Gabon, Equatorial Guinea, Cameron, code voire na Burkina Faso Ije ishindwe kuandaliwa na East African Pamoja bid! Mnapenda kuyakuza tu hayo mashindano.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Fahamu kiundani kabila la Wapare na Wanawake wa kipare

    Macelela, mabeyo na Chenge walioa upareni...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Maajabu 8 ya mkoa wa Mara

    1. Kiwango cha chini sana cha ushirikina 2. Ulaji wa Nyama ya kuchoma nu ugali wa mtama 3. Wale jamaa wanapenda sana kukopesha kwa riba. 4. Ni wakarimu sana, hapohapo ni wagomvi sana 5. Ni nadra sana kukuta mwanamke mkurya Malaya 6. Usijaribu kuoa single maza aliyezalishwa na mkurya hata kama...
  15. A

    JamiiForums Tanzania TFF mpaka Sasa hawajatoa Tamko dhidi ya Bakhressa!

    Yaleyale kama ya Simai. Mtu anatoa tuhuma nzito kiasi kile halafu Mwenezi wa CCM Taifa akakausha, Spika akakausha. Wakati Mpina alitofautiana kidogo tu na Bashe kuhusu vibali vya kuingiza sukari alijibiwa na kila mtu....hadi Wasira na kamati ya nidhamu bungeni. Gwajima alipishana kimsimamo na...
Back
Top Bottom