Kwanza hawa binadamu hawakutakiwa kuishi uraiani.
Wanatakiwa waishi makambini.
Hiyo itakuwa adhabu tosha kwao.
Ukiona Chalamila anavimbia watu,
Anafokea watu ovyo,
Anatukana na kutishia Watu ovyo,
Kiburi chote anakipata kutokea kwa hawa......
Ni viumbe 20,000 tu....wanaotutesa.
Ujinga gani huu.
Wapo kwenye cold war toka kampeni zao.
Mbowe aliushauri uongozi mpya wa akina Heche ufanye maridhiano ya ndani immediately baada ya Lissu kushinda...ili kuponya makovu ya minyukano ya uchaguzi wao.
But Lissu was seemingly stubborn...
Mbowe alikiri kushindwa na Lissu hadharani, which was very...
Kwanini wembamba unahusishwa na ugoigoi?
Kuna wembamba na ukondefu tofautisha hapo.
Dr Agonza just like Prof Janabi are skinny and healthier than you.
Daktari bingwa lazima awe na mshahara unaoeleweka na allowances kedekede.
Sasa butiku ana nguvu gani CCM jamani?
Butiku anafosi tu kuwa na nguvu CCM kwasabu ni sibling wa Nyerere.
Butiku ni Oburu Odinga wa Tanzania.
Analazimishaga tu kukubalika admist Kizazi chenye utovu wa nidhamu
Ukisikia Tanzania ni nchi ya kijamaa tafsiri yake ndio hii.
Isipokuwa ujamii wa enzi za mwalimu ulikuwa sio wa hiari.
Ujamaa wa kileo ni wa hiari.
Ukisema leo ujiandalie harusi yako kwa fedha zako mwenyewe, pengine kwa nia njema kabisa.....Kamati wewe, kila kitu wewe, kisha ualike watu...
Huyu mama kabakiza miezi 45+ muda wake utamatike...Lakini anavyowashughulikia watu ni as if ana agenda ya kurefusha presidency yake.
Raisi aliyekatika dakika za jion hana sababu za ku-behave hivi.
Kila siku ni kupangua safu, na kupanga safu mpya.
Bado ni mraibu wa kusifiwa hadi leo.
Usiposikika...
Siku hazigandi vumilieni.
bado miezi 40 tu tuingie awamu ya 7th.
Lakini hata kama ni uzanzibar, hauna nguvu.
Hapana huyu hana uzanzibar huyu ni mzungu mwenzio.
Sina tatizo naye..
Maana hafiki kokote.
Ni cheo cha kuonja tu baadaye wanapiga chini kama Biteko.
Hata Maria Sarungi na Yeye sio mjaluo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.