Recent content by Anonymous Caller

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Ilikuwaje tena. Bajana sio jina lake halisi?
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nadhani huu ukumbatiaji wa wicknell kwa rais wa nchi haujakaa kiprotical , amemkumbatia vibaya na sidhani dini kama inaruhusu.

    Ni uoga tu wa akina Hamonaiz lakini Samia hana that distance. Ukimu-hug ana-accept hapohapo.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania Tuache Kushabikia Tukio lisilo la Kimaadili Raia Kupigana na Askari Tena akiwa Kazini

    Kwanza hawa binadamu hawakutakiwa kuishi uraiani. Wanatakiwa waishi makambini. Hiyo itakuwa adhabu tosha kwao. Ukiona Chalamila anavimbia watu, Anafokea watu ovyo, Anatukana na kutishia Watu ovyo, Kiburi chote anakipata kutokea kwa hawa...... Ni viumbe 20,000 tu....wanaotutesa. Ujinga gani huu.
  4. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkufunzi wa Shule ya Polisi Moshi, SP Emmanuel Eliuta ‘Mtatifikolo’, Afariki Baada ya Kugongwa na Pikipiki

    Kuna mtu aliwahi kuniambia Tanzania kuna polisi 20,000 tu ni kweli?
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mbowe hakuwahi kwenda hata mara moja kumjulia hali Mwenyekiti wake Lissu ila ameenda Zanzibar kumpa pole Samia , hii imekaaje?

    Wapo kwenye cold war toka kampeni zao. Mbowe aliushauri uongozi mpya wa akina Heche ufanye maridhiano ya ndani immediately baada ya Lissu kushinda...ili kuponya makovu ya minyukano ya uchaguzi wao. But Lissu was seemingly stubborn... Mbowe alikiri kushindwa na Lissu hadharani, which was very...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Tuna askari dhaifu sana. Kama huyu Agonza licha ya kuwa afya mgogoro ila kamtandika askari basi tunalindwa na watu dhaifu sana.

    Kwanini wembamba unahusishwa na ugoigoi? Kuna wembamba na ukondefu tofautisha hapo. Dr Agonza just like Prof Janabi are skinny and healthier than you. Daktari bingwa lazima awe na mshahara unaoeleweka na allowances kedekede.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi kuhusu makamu wa rais mfukuzwa Nchimbi hayupo Tanzania

    Sasa butiku ana nguvu gani CCM jamani? Butiku anafosi tu kuwa na nguvu CCM kwasabu ni sibling wa Nyerere. Butiku ni Oburu Odinga wa Tanzania. Analazimishaga tu kukubalika admist Kizazi chenye utovu wa nidhamu
  8. A

    JamiiForums Tanzania Michango ya Harusi Single 100,000 na Dabo 150,000, watu wanaumia kimoyomoyo!

    Ukisikia Tanzania ni nchi ya kijamaa tafsiri yake ndio hii. Isipokuwa ujamii wa enzi za mwalimu ulikuwa sio wa hiari. Ujamaa wa kileo ni wa hiari. Ukisema leo ujiandalie harusi yako kwa fedha zako mwenyewe, pengine kwa nia njema kabisa.....Kamati wewe, kila kitu wewe, kisha ualike watu...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kiti kung'ang'aniwa 2030

    Huyu mama kabakiza miezi 45+ muda wake utamatike...Lakini anavyowashughulikia watu ni as if ana agenda ya kurefusha presidency yake. Raisi aliyekatika dakika za jion hana sababu za ku-behave hivi. Kila siku ni kupangua safu, na kupanga safu mpya. Bado ni mraibu wa kusifiwa hadi leo. Usiposikika...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kiti kung'ang'aniwa 2030

    😆 Ya leo kali
  11. A

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Siku hazigandi vumilieni. bado miezi 40 tu tuingie awamu ya 7th. Lakini hata kama ni uzanzibar, hauna nguvu. Hapana huyu hana uzanzibar huyu ni mzungu mwenzio. Sina tatizo naye.. Maana hafiki kokote. Ni cheo cha kuonja tu baadaye wanapiga chini kama Biteko. Hata Maria Sarungi na Yeye sio mjaluo...
  12. A

    JamiiForums Tanzania CCM, Hii siyo sawa. Pamoja na yote , msingelimfutia uanachama nchimbi. Mungu anawaona

    Ongeza na innocent Bashungwa
Back
Top Bottom