Ndugu viwanja vyenye international standards ni aghali sana.
Wewe mwenyewe si umesikia kiwanja kijacho cha arusha ni bilion 200+
Bajeti ya wote simba na yanga kwa mwaka haifiki Hata bilion 50.
Ni ulaya tu ndio vilabu vina viwaja kuanzia Manchester hadi akina luton.
africa si mamelodi si al...
Juzi juzi hapa nilifika ofisi fulani ya Nida ili nipewe kitambulisho changu baada ya kusikia vitambulisho vya 2020 vipo tayari.
in charge wa nida akakiri kwamba ni kweli Id zipo tayari ofisin kwake ila wanasubiri uzinduzi kwanza ndio wavigawe.
Kwahiyo mbaya wa Lowasa ni nani
(a) magufuli aliyempora ushindi kama inavyodaiwa na kumsweka gerezani mkwe wake, Mume wa Pamela lowassa.
(b) Jk ambaye wanadai alichagiza jina lake lisipelekwe NEC
(C) sitta na mwakyembe waliomwandama bungeni ajiuzuru.
Huyu ana uspesho gani.
Mbona Pinda na...
Sikia Tufanye hivi tu umeshinda. Mbona simple..
We hapo mfukoni una nini.
Unajivunia makusanyo ambayo kesho yanaenda kuliwa na mchwa..huyu jamaa vp.
Jana/leo madam Rais kaenda Ethiopia na utitiri wa chawa kuzindua sanamu ya mfu.hela zenu wajinga hizo
Undoubtedly lowassa ni mkubwa kiumri kwa Jk..picha inaongea yenyewe.
Siasa/maisha yana mambo mengi.
Mtu anayediriki kupiga dili na kupata hela za kula maisha yake yote na descendants wake wote hawezi kushindwa suala dogo kama la ku cheat umri.samahani kutoka nje ya mada
Aisee kama wameahidiwa hisani ya kujengewa heri wajengewe
Ukileta option mbadala utashagaa kiwanja hutakiona na hela hazitakuwepo.we ni mgeni bongo hii.
We unafikiri hata leo balance sheet ya yanga ipo sahihi..ni kwa vile tu timu inapata matokeo ndio maana watu hawahoji...ila hesabu za yanga...
Samatta hata akiwa PAOK hamalizagi dakika 90...anayebisha anipe ushahidi hata mmoja..na sio PAoK tu hata kule Royal Antwerp.
Sasa kwann leo iwe nongwa kutolewa?
Hivi msingi hasa lawama hizi ni nini?
Kwahiyo mlitegemea matokeo gani.yaani Tanzania kufungwa na Morroco ni jambo la kushangaa kweli?
Hivi mna akili kweli..au mna ajenda yenu...tena morrocco ya nyakati hizi vs Tz ya nyakati hizi.
The first fifa ranked in africa vs 30's ranked.
Mna viburi sana.
Taikon mbona anayumba yumba
Kiufupi kijana huyu ameporomoka mno kihoja.
Me nafikiri sio lazima wala sifa kutunga threads mpya kila siku..ukiishiwa cha kuandika si utulie.
Anyway una karama ya uandishi.
Hata hoja ya hovyo hovyo ukiishupalia unavuna mashabiki hongera kwa hilo.
Wewe ni zao la uharibifu wa Waandishi wa habari na wachambuzi.
Hivi kama kweli huna majeraha ya akili unaweza kuilaumu au kushangaa taifa stars kufungwa na morrocco?
Hivi nyie mnaishi dunia ya wapi jamani au mna pretend au sijui hamtafuti taarifa.
Mimi bado nabaki optimistic kwamba tutavuka hatua hii.
iko hivi mashindano yana timu 24.
Katika hatua hii zinachujwa timu 8 tu.
Timu 16 zitabaki kwa hatua inayofuata..
Kwa msingi huu, hata watakaoshika nafasi ya tatu kwny group level (watakuwa 6) wa4 kati ya 6 watafuzu straight kupitia dirisha...
Mwalimu wa stars nae mzembe..wewe una wachezaji wawili wenye kadi za njano tayari..halaf huwafanyii sub wkt inajulikana himid na novatus ni viungo wenye rafu
Japo kwa upande mwingne mwl huyu namkubali kwny misimamo yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.