Habari wana jf
Nimerudi tena na picha kimfaacho mtu chake nimekumbwa na changamoto kidogo za kuuguza so nimefikia maamuzi haya nauza nyumba ila bado haijaisha
Vyumba 3(viwili master)
Jiko
Sebule
Miguu 40 kwa 40
Store
10m maongezi yapo
Eneo mbagala kwa mbiku(chaboko)2-2.5km kutoka barabarani
Samahani wadau,nina shida ya mkopo kwa dhamana ya nyumba haijaisha yote lakini na pia nina sales agreement tu ya kiwanja maana hati miliki bado ipo kwenye mchakato..msaada
Wangu kanipita 20 am 29 and he's 49 niseme tu naenjoy[emoji7]...drama zipo kidogo sababu wanaume hawakosagi mapichapicha[emoji2] kitandani yupo moto na kunijali anajali!!Sitamani tena kudate kijana
Yeah ukipita aptitude test yao ya maswali wanakutumia email kwa ajili ya briefing ya 2mnts hivi...na mimi niliishia stage hio hawakuwahi kunijibu tena from there
Habari wanaJF,
Samahani naombeni Mnisaide hivi Mtu anapataje sponsorship kwa mfano ya kusoma Canada, ni kwamba unaomba?
Naombeni tu kufahamu juu ya hilo.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.