Recent content by Annointed

  1. A

    CCM kwaiva: Kama si Salim ni Mwandosya

    Kila aina ya habari tutaisikia mwaka huu
  2. A

    CCM kwaiva: Kama si Salim ni Mwandosya

    Kaz ipo mwaka huu
  3. A

    Umoja wa Ulaya na wahisani Kutotoa fedha za uchaguzi, wanaua demokrasia na CCM kuongoza milele?

    ha ha ha ha ndio ujinga tulionao Africans,kweli kabisa akienda ulaya akatokea chizi mmoja akamwambia unafaa kuwa rais,aisee atakuja kutangaza nia kwamba namimi nataka kuwa rais maana nafaa hadi ulaya wamenishaur nigombee
  4. A

    Umoja wa Ulaya na wahisani Kutotoa fedha za uchaguzi, wanaua demokrasia na CCM kuongoza milele?

    R.B Huoni hata aibu kulalamika eti mnanyimwa misaada,Africa akili zetu mbovu sana
  5. A

    Lowassa akwepa tena mahojiano ya Live na Clouds FM

    Makamu wa rais amemuomba ndug El akamuwakilishe katika harambee maana yeye kuna majukumu yamembana,sasa tatizo nn hapo nyie haterz?
  6. A

    Kitu gani kikikuishia huwa unachanganyikiwa na kukosa raha?

    Daah mm nikiishiwa pesa na kwenye simu niwe pia sina salio duuuh naishiwa nguvu kabisa,akili hazitulii,maana najua nikiwa na salio tu kwenye simu pesa napata bt pesa niwe sina halafu na salio sina duuuh hapakaliki
  7. A

    Familia ya Diamond yatilia shaka mimba ya Zari

    Watu mnakosaga kazi za kufanya aisee,Yan mnakesha kwenye mitandao kuongelea maisha ya mwenzenu,Jaman tafuten pesa,tafuten pesa,pesa ndio kila kitu kukaa mnajadili maisha ya mtu wala haiwasaidii!!!Tafuten pesa guys
  8. A

    Hii ndiyo orodha ya mashujaa wa miaka 50 ya Muungano, Mama Maria na Diamond ndani

    duuh nani huyo alijitoa kuangukiwa na bomu?
  9. A

    Prof. Lipumba aiapia CHADEMA kutotawala nchi

    Si ndio mnaojiita ukawa nyie????endeleeni tuu kuumana wenyewe kwa wenyewe
  10. A

    Kwanini ni vizuri kujuana magroup yenu ya damu kabla ya kuoana?

    Ww si strong umeanza kuogopa nini ha ha ha ha!Anyway nimekua nikishuhudia vifo vya watoto wa dada yangu na wanasema tatizo ni magroup ya dam ya wazazi,Yan mtoto akikaribia kutembea baaasi anafariki,imekua ikiniumiza sana nimeona ni heri nije humu tujuzane mapema
  11. A

    Kwanini ni vizuri kujuana magroup yenu ya damu kabla ya kuoana?

    Kwahiyo ni vyema kuoana wote mkiwa na rh zinazofanana?Kama ni positive wote muwe positive na kama negative wote muwe negative ili kuepuka matatizo hayo hasa kifo cha mtoto?
  12. A

    Kwanini ni vizuri kujuana magroup yenu ya damu kabla ya kuoana?

    Wanajamvi,Hivi kuna umuhim wa kujuana groups za damu kwamba zinaendana or not??Jee nini madhara ya groups kutokuendana??Na jee group O aoe mtu wa group gan?Group A,AB pia wafaa kuoana na watu wa groups zipi?
  13. A

    Kuna njia yoyote ya kusaidia kupata Mimba ya Watoto Mapacha?

    Muone Dk Mwaka yupo dar,tatizo hilo ndio itakua mwisho wake!!Sina namba zake za cm bt unaweza ulizia Dk Mwaka ukselekezwa alipo na ukaenda kupata tiba,au jaribu kumgoogle utapata mawasiliano yake
  14. A

    Nyoka atishia maisha yangu Butiama

    Vp alikua anamakengeza?Kama anamakengeza jua ni Chenge huyo,mzibiti mapema
  15. A

    Fastjet ya Mwanza-Dar ime-abort take off!

    duuh,nasikiaga ndege huangusha ndege
Back
Top Bottom