hii ni fasheni ili watu wapige hela tu hakuna lolote kadi zinachapishwa na kupewa watu ili kwenye mikutano waonekane wamezirudisha na kuhama chama ,hakuna maana yoyote subiri 25/10
midahalo haina tija ndo maana hakuna hata kiongozi anayeitaka ila kwa kuwakata ngebe chama fulani mdahalo uwe wa kiingereza ili tupime kweli viongozi wetu hawatahitaji wakalimani watakapokuwa kwenye mikutano nje ya nchi
kwa nionavyo mimi mgombea ukawa asishiriki kwenye mdahalo ili iwe ni formula ya ushindi maana 2010 mgombea wa ccm hakushiriki na akashinda hivyo na ukawa wasishiriki ili washinde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.