Mtikila: Dr Slaa na Prof Lipumba ni wazalendo, Lowassa hatoshi Urais

Mchange hana jipya kila anapoitwa studio yeye mbaya wake ni CHADEMA tu na ni mkakati wa makusudi kabisa wa startv kupotosha umma ili walau kuisaidia sisiemu lakini wamechelewa watanzania wana hitaji mabadiliko.

Ukweli unamaumivu makali sana bora uchapwe viboko.Change anaongea kweli na ndio maana mnamchukia
 
Kwa hiyo Mtikila kwa kusema hayo unataka tufanyeje?.WATANZANIA wote tulishaamua kumchagua ndg EDWARD LOWASSA kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
 
Kwanza yeye ndie wa kwanza anaepaswa kupimwa akili..
ANATAFUTA URAIS WA TANGANYIKA AMBAYO HAIPO..
ndio maana tume ilimuengua mapema mbaguzi huyu.
Anasema Lowassa anafadhiliwa na Mafisadi kama Rostam wakati naye alikula mpunga wa huyo jamaa eti anasema yeye alisign kwa hiyo aliposign Rostam aligeuka nabii kwa muda na hela zake zikawa halali ?!
Katika uumbaji wa Mungu ugonjwa ni majaaliwa ya Mungu na ni dhambi kumkashifu mtu eti aliumwa..
Au yeye ana mkataba wa uzima ?
Lakini sijui utaratibu wa wakristo labda wao kukejeliana mtu anapougua ni halali !
kusema pengine fulani aliumwa eeee..
alijisaidia eeee..
mh huku kwenye uislamu hilo halipo.
Mpumbavu mwenzake Kombani alisema bora lowassa ameenda Chadema akafie huko,asije akatufia sisi huku..
Yuko wapi kombani ?
ale kejeli zake kuzimu..
 
Kwel wote mnaomshabikia lowasa msaidienn akatibiwe india

Mgonjwa yuko hospital, sisi tusio hospital tunaumwa nini? Hivi ukiulizwa Lowassa anaumwa nini utajibuje? Tezi Dume Jk ulimchangia kiasi gani? Toka kuanza kampeni hadi leo, mbona hajawahi kupelekwa hospital? Mbowe alipelekwa hospital, Marando yuko India, Selina Kombani katuacha, mbona huwasemi? Ndg tambua hamna ajuaye kesho, Nyerere aliens atamuona Rais wa awamu ipi? Na alimuona? Utakufa wewe kwa Kipindupindu utamuacha huyo umtabiriaye umauti
 
Mtikila anaongea fact kweli,ungiangalia kwa sasa ukawa hata clips za mgombea wao hawaonyeshi,jamaa hata hajulikani anaongea nini maskini,wanaokwenda kwenye mikutano wanasikitika sana

Tatizo lako ni nini? Si ujiunge nae DP
 
Huku ccm ambao sio wazalendo na mafisadi tupo wengi sana na tunaonekana ni wasafi na wazalendo isipokuwa ukithubutu kuhamia upinzani tu wewe ni fisadi na majina yote mabaya ya dunia hii.
 
Hivikuna mtu mwenye utimilifu wa akiri anaweza kukaa nakumsikiliza huyo Mtikila? Sijui hatahuyo Benard James analazimishwa kumuita ktk hicho kipindi maana anaonekana kabisa yuponaye kimwili ila akiri inawaza kwingine kabisa.

Mtu aliyekashifu jeneza la baba wataifa akaishia lupango, leo eti ndo anaitwa ktk kipindi nakupewa nafasi achambue mambo.

Star tv wamekuwa mambulula mno.
 
Mch machachari Mch Christopeher Mtikila akiwa katika stdio star TV leo asubuhi katika kipidi cha tuongee amesema kwamba Jaji Lubuva ni mkwewe Lowasa.

Alizungumza hiyo habari kufuatia kitendo cha kampeni alizozifanya mgombea Urais kuiptia Ukawa alipokua ziarani Tabora pale aliposema kuwa hii ni zamu ya warutheri kuongoza nchi.

Pamoja na hayo mambo mengine aliyaongea ni juu ya kauli za viongozi waandamizi wa UKAWA ambzo zinatoka katika kauli ndimi moja lakini zinatofautiana.

Mf kauli ya Mgombea Urais kupitia Ukawa alipokuiwa CCM alisema ‘’ Rais kikwete ni Visionary Leader ana uwezo wa kuona mbali’’ na alipotoka CCM akiwa ukawa akasema “Rafiki yangu Jakaya Mrisho Kikwete, kauharibu uchumi wa nchi”

Pia Mhe Fredrick Sumaye’’ Endapo CCM itampitisha Lowasa kugombea Urais mimi nitahama chama” na alipokuwa ameama CCM akasema” Lowasa anastahili Urais yeye ndiye Jemedari wetu”

Kauli ya Tundu Lissu “CCM wamempatia Fisadi Lowasa Fomu ya ugombea Urais, Ni hatari’’….leo amegeuka kua mpiga debe mkuu….

Kauli ya Mnyika “ Nina Ushahidi wa kutosha kuhusina na ufisadi na wizi wa Lowasa na Rostam…

Mwisho akasema ata mchungaji mwenzake Mh Peter Msigwa anayemuunga mkono Lowasa akapimwe akili leo amegeuka kuwa mpiga Debe mkuu…

Akasema kauli tofauti katika vinywa hivyo haviwezi kuongoza fikra za watanzania…..hizo ni mbinu za kuwania madaraka wakipata madaraka wanaanza kuwa na lugha za utetezi….

Na alipoulizwa kuwa inawezekana amenunuliwa na CCM kutokana na kauli yake ya kusema mgombea wa CCM John Pombe Magufuli ana nafuu kuliko Mgombea wa UKAWA…akajibu yeye anaendelea kusisitiza kuwa hawa wagombea wote wana matatizo ya kiafya lakini mmoja ana nafuu au matatizo yake mpaka uyafanyie research huyu mwingine hata ukiwa mjinga kiasia gani unamuona kabisa ubongo umepoteza mawasiliano na mwili mpaka wakati mwengine choo kinatoka chenyewe..hivyo Ikulu siyo Hospital…..

Akasisitiza kuwa CCM imemuweka ndani mara kadhaa zaidi ya mara 40 hawezi kuwamsemaji wao hata kidogo…..

Wengine hatujaelewa...................
 
Hana shule achana naye huyo! Watu wNazungumzia afya yeye anatoks nje ya mada! Yaani huyu mtu ni kama kuku hajielewi kabisa.

Mtu sample ya Huyu mzee ni hatari sana kwa Taifa .Uzr nikwamba alishanyonyolewa manyoya siku nyingi
 
Mtikila ameheuka au anataka nae apewe kidogo kama Lipumba Na Slaa? Pia alitaka Jaji Lubuva awe Mkwe wake? Mzee kachanganikiwa
 
..Mtikila anajulikana tabia zake, hua aongei burebure mpk asukumwe from behind.!
 
Mwamuzi hatakiwi kuwa mtu anayetiliwa shaka kuwa anaweza kupendelea upande fulani. Ocampo four umeki kweli Lubuva ni ngugu wa mama Regna... hapa Lubuvu lazima atiliwe shaka kuwa anaweza kumpedelea mkwewe...dawa ni kujiuzuru...
Kwa hiyo CCM hawana imani na tume.

Mbona wameanza kulialia mapema?
 
Back
Top Bottom