Ninaomba msaada wenu wakuu. Kwenye makaburi ya kinondoni alipokua amelazwa marehemu mama yangu kuna kaburi la mtu mwingine na limejengelewa haswa. Nini nifanye nipate haki ya sehemu ya mama yangu? Mama yangu alifariki mwaka 2001 na hatujakuta hata msalaba. Na huyo waliyemzika amezikwa 2021.
Mimi nimepata shida sana na chuo cha saut. Walipotoa second selection siku hiyo hiyo jioni nilipokea simu kuwa wamenichagua kwa kozi ya law ila jina halikuwepo kwenye list nimefatilia sana majibu waliokuwa wananipa ni kua niende kufanya usajili jana nahakikisha tena wananiambia mara majina yetu...
Kwenye account yangu there are no updates kama am selected or not alafu hakuna admission number wala nin wenyewe wananiambia niende during registration tareh 15
Kwanin unijibu hvyo cheusi mangala? Atimes use wisdom me nimeomba ushauri tu na nimepewa hopes by the way am not a fun of instagram nor any other social networks. Na kama nlikufollow insta just unfollow
Daaah! aisee! Kuna mtu kanipa namba hapa na nmewapigia tena wameniambia kuwa kama kuna ujumbe nlipokea basi nisubiri na ni kweli ujumbe nlipokea . Wameniambia siko peke yangu kwenye hili tatizo. Mimi naweza kuelewa ila wazazi sasa ndo kimbembe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.