kwel apo umenena kyara itabid tuwe tunafanya ivo nahis itasaidia kidogo bt kwa mtindo km huu wa kufanya karibia interview ht 10 kwa mwez tutajaza sasa phone book adi.itabid tuwe tunanakil ht kwenye karatasi duu.
habar zenu wanajamvi jana nimefanya interview pride but jinsi ya kupata taarifa km mtu umefaulu oral hawakusema na km wakiamua wawapigie watu simu kwa wale waliofaulu sasa tatzo kwa wengne ambao watakuwa hawajafaulu watajuaje? naombeni jib kwa wale ambao mliokuwa kule
Nimefanya interview jana utumishi bt mwajiri ni PPRA swali langu ni kuwa, nimesikis sasa hiv mtu yoyote aliesoma procurement hawezi kuajiriwa as procurement oficer au kwenye field yoyote inayohusika na procure kama hajafanya mitihani ya bod ya procurement.
Je hili swala lina ukweli ndani yake...
leo hii kuna rafik angu mmoja kanambia iko kitu kuwa anna nasikia watu wanaitwa pccb tena asa sikutaka kumchimba sana ye kapata wap izo story ht mm nilfanya oral interview bt job hola niko kitaa 4 yrs.zen imani ni kitu kikubwa sana zaidi tu tuendelee kuwa na iman ndani ya iman hutokea.cz kuna...
yani iko ndo kinachoniuzi born again yani alafu mtu unadhindwa useme usafir ukafanye mambo mengine maana wat if nasubir iyo oral zen nkafanya af nicpate cz ni watu 4 out of 20.zo writen nilkuwa mtu wa 4 zo hai garantii mtu kufaulu oral.
jamn mizambwa mbn ivo ujue hadith zako ni nzur na pia zinasomwa na watu wengi sasa cjaelewa tatzo ni wapi jmn mpk unakuwa unatuma hadith moja af unakaa siku nne badae ndo unatoa au tupe utarbu bas coz kwenye hisia zangu toka majuz hamna kitu tusikilize bas maombi yetu mizambwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.